ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Mkuu samahani, kunukuu hbr ndefu unatuchoshaPole sana usaliti ni adui mkubwa sana ktk mahusiano ya watu wengi Mungu akutie nguvu uwatunze vyema wanao.
Mkuu samahani, kunukuu hbr ndefu unatuchoshaPole sana usaliti ni adui mkubwa sana ktk mahusiano ya watu wengi Mungu akutie nguvu uwatunze vyema wanao.
naisubiria kwa hamu saaaaaan,Najipanga kuanzisha thread yangu😀😀
Take a leap of faith,, story ya mtu mwingine ya mapenzi haiwezi kuwa story yako.mkuu pole sana..
hata mimi kuna kitu huwa kinanisumbua kichwa
>huwa napenda niwe na
familia baadae
>lakini naogopa sana
kuoa
maana visa vya ndoa au mahusiano kwa ujumla huwa ni tishio kwa kweli maana kila nikijaribu kugeuza visa vya wenzangu viwe vyangu huwa napata uwoga sana wa kuthubu hata kujaribu.
Kwenye miti hakuna wajenzi dadaAisee kuna watu wanatafuta usiku na mchana wanaume wanao jali hawapati ..lakini wale washenzi wanapata
Yaani wanaume hovyo kabisa! Anavyonyenyekea kuomba papuchu utadhani anaomba mbingu? Mkeo hakutoshi mchepuko utaishia kuvunja ndoa za watu. Mfyuuu!!Tupe part tu ya riwaya hii, maana unamfaham shemeji yako
Labda ange mscorpion au kum Ben saa 8 huyo dada labda ndio alivyofikiria kulipa kisasi hicho....wewe ulifanya nini?

Thats NANDERA.Huenda narudia maana uzi umekuwa mrefu ila my dear 2017 kwanza pole. Pili elewa hili somo japo ni gumu: your spirit/soul is longing for perfection. To attain perfection our spirits subject us to trials. The spirit does not care about how you will feel, but what it will gain out of that trial. Your spirit wants to mature/to grow. It wants a more persevering 2017, a forgiving 2017, a loving 2017, a humble 2017, a whatever good 2017, but it cannot get these without your WILL.
Give your spirit what it wants, or expect more tragedies and the worst you. If you decide to surrender to your supreme being, and forgive the lady and repent whatever guilt you are carrying, I assure you will emerge stronger than ever. If you continue to harden your heart, then expect more tragedies; and they will break you further (you're partly broken now). The excitement you got from a revenge is that an illusion, it did not make you any better. The feelings of betrayal are still eating you and following you wherever you go, and dictating your life choices, e.g. dating style. Deep down you know you are not that kind of a person, but look at what you're doing now. A sound minded man would love to have a secure relationship, but you are letting the trial defeat you. Do not let it defeat you. You have a will power to say no to more destructions.
FORGIVENESS IS NOT A SIGN OF WEAKNESS, BUT OF MATURITY. LET HER GO AND WAIT TO SEE THE WONDERS OF FORGIVENESS - joy, prosperity, wisdom, patience, endurance etc. I have been there too.
Never say never mami,trust me HAYAJAKUKUTA...u will wonder what happened to misimamo yangu yote ile..maisha yana siri kubwa hasa hapa kwenye mapenzi
Hahahaaaa.... OPRAS inanishikisha adabu
Uwiiiii!! Yaani sikipendi hicho kitu acha kabisa. Naijazaga huku nimenuna utadhani nimeshikiwa bunduki.Hahahaaaa.... OPRAS inanishikisha adabu
joanah ...mtestii muongoo tuPolee mkuu
Hata hisia za mapenzi huna?
Ama ndio kuhit and run?
Nimejikuta nacheka kwanguvuKwahio revenge yako ni kumla tigo tu na kumwacha?! Wewe una huruma sana.