Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

mkuu pole sana..
hata mimi kuna kitu huwa kinanisumbua kichwa

>huwa napenda niwe na
familia baadae
>lakini naogopa sana
kuoa

maana visa vya ndoa au mahusiano kwa ujumla huwa ni tishio kwa kweli maana kila nikijaribu kugeuza visa vya wenzangu viwe vyangu huwa napata uwoga sana wa kuthubu hata kujaribu.
Mkuu nakuona mjanja kumbe muoga hivyooo
Uwiiiii!! Yaani sikipendi hicho kitu acha kabisa. Naijazaga huku nimenuna utadhani nimeshikiwa bunduki.
 
Jamani wanaume kuweni na moyo wa kiume Tafadhali...
hizi revenge za makalioni zinasikitisha Sana.
 
Sijapenda ulivolipiza kisasi na pia kumpa kichapo cha mbwa mwizi, hukustahili kufanya hayo. Halafu unajisifu nahisi dhamira yako ishakufa, huna kabisa guilt conseousness
 
Duuuh..!!! The best revenge ni kusamehe, natamani swala la kusahau lingekua ni la ihari. Unaweza ukasamehe ila kumbukumbu zitabaki kumuumiza mtu moyo
thaaatasa THE WORST PART!
UNASAMEHE NA KISHA HUJUI UFANYE NINI ILI USIKUMBUKE KUWA ULIUMIZWA aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh!
 
mkuu pole sana..
hata mimi kuna kitu huwa kinanisumbua kichwa

>huwa napenda niwe na
familia baadae
>lakini naogopa sana
kuoa

maana visa vya ndoa au mahusiano kwa ujumla huwa ni tishio kwa kweli maana kila nikijaribu kugeuza visa vya wenzangu viwe vyangu huwa napata uwoga sana wa kuthubu hata kujaribu.
pole kwa uwoga,
1. usijilingaishe na mtu yyt, we all differ.
2. UKIWA NA NIA NA KITU UTAKISIMAMIA ili ukipate
3. ndoa, or mahusiano ni risk business kama risks zozote in life, you dont take it you will never know or learn from it.
 
Back
Top Bottom