Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Mhhh...,!! Nakupa pole ingawaje pia najua hustahili hiyo pole..!! Kisasi siku zote sio suluhisho la matatizo..! Tena hicho chako cha "kuruka ukuta"... Mmmh moyo huo sina, ingawa wanaume wenzangu wengi mtapingana nami..!!
Hayajakukuta, yakikukuta yawezekana ukafanya zaid ya kuruka ukuta
 
Hayajakukuta, yakikukuta yawezekana ukafanya zaid ya kuruka ukuta

Nna roho mbaya sana zaidi ya mnyama najijua na wananijua pia ., Lkn cha ajabu amabcho huwa hata sijui ni kwa nn..,, Sina moyo wa kumyanyasa mwanamke kingono...!! Hata kumlazimisha tu akishakataa kungonoka siwezi...!!
 
Her ukawa single family kama umepata Watoto kuliko kuish na hawa viumbe,yaan ni taabu tupu mkuu,wamenifanya wazo la kuoa limetoweka japo nna katoto mpaka naona ni her kuwapata Watoto hata kwa Wanawake wengine lakin siyo kuoa,japo namset niliyezaa naye anizalie tena il kuepusha Watoto wa Mama tofaut tofaut
 
Dah.... Kuruka Ukuta ndio dhmb pekee.. Katubu mkuu
 
Her ukawa single family kama umepata Watoto kuliko kuish na hawa viumbe,yaan ni taabu tupu mkuu,wamenifanya wazo la kuoa limetoweka japo nna katoto mpaka naona ni her kuwapata Watoto hata kwa Wanawake wengine lakin siyo kuoa,japo namset niliyezaa naye anizalie tena il kuepusha Watoto wa Mama tofaut tofaut
Ni wanaume wengi sana vijana wa sikuhizi wana wazo na maamuzi kama haya yako.

Nafikiri ni kukata tamaa kulingana na jinsi wanawake wengi walivyo.

Pole chief,
 
Pole sana Mkuu
Nilitendwa mara moja, nikawa bingwa wa kutenda mpk sasa sina uhusiano am a free men
 
Pole sana Mkuu
Nilitendwa mara moja, nikawa bingwa wa kutenda mpk sasa sina uhusiano am a free men
Hahah wanaume bana samehe and move on,unaweza dhani unamkomesha mtu but in reality unajikomesha mwenyewe kwa kushindwa kujipa nafasi nyingine ya kufurahia mapenzi kwa kuogopa usaliti...
Mtoa mada eti nlichomfanyia hatonisahau wakati dada wa watu kanenepeana hana habari naee ue ndo anakufa na kihoro na presha na kuleta uzi hapa
 
Hahah wanaume bana samehe and move on,unaweza dhani unamkomesha mtu but in reality unajikomesha mwenyewe kwa kushindwa kujipa nafasi nyingine ya kufurahia mapenzi kwa kuogopa usaliti...
Mtoa mada eti nlichomfanyia hatonisahau wakati dada wa watu kanenepeana hana habari naee ue ndo anakufa na kihoro na presha na kuleta uzi hapa


Maumivu hayo LadyRed ukiyaendekeza hasara yake ndo hii
 
Hahah wanaume bana samehe and move on,unaweza dhani unamkomesha mtu but in reality unajikomesha mwenyewe kwa kushindwa kujipa nafasi nyingine ya kufurahia mapenzi kwa kuogopa usaliti...
Mtoa mada eti nlichomfanyia hatonisahau wakati dada wa watu kanenepeana hana habari naee ue ndo anakufa na kihoro na presha na kuleta uzi hapa
Umesema vizuri mdada, tunapumzika na stress,sio kwamba sitafuni papuna LadyRed,zinatafunika tu lkn hakuna userious mpk pale nikiamua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom