Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Yani mimi namshukuru tu Mungu kwa hii roho ya uuguzi. Najua kuumia haswa, najua kulia mnoo and najua kusali huyo nikiwa na maumivu teh. Nikitoka hapo nimesamehe, sina kinyongo, nina amani yangu ya moyo. Hata tukikutana i wil give you a genuine hug na smile huyoo, unless uwe mpuuzi, ambapo itabidi tu nikuignore kikubwa (ila nshasamehe). Niache kupenda kisa mtu mmoja, na moyo wangu ulivyo na kiherehere hivi cha kupenda mweee. Revenge, Kukaa na maumivu au kinyongo, kunaumiza mnoo better kusamehe. No matter how long it will take, ntasamehe tu na Mungu azidi kunisaidia. Tena inabidi kujifunza kusamehe in advance, kwa amani ya moyo wako of course, sio kila atakayekukosea atakuomba msamaha.
Kumbe muuguzi mwenzangu, njoo PM kama hutojali...hahaha hakuna muuguzi asiyejua kusamehe na kuanza upya.
 
Yani mimi namshukuru tu Mungu kwa hii roho ya uuguzi. Najua kuumia haswa, najua kulia mnoo and najua kusali huyo nikiwa na maumivu teh. Nikitoka hapo nimesamehe, sina kinyongo, nina amani yangu ya moyo. Hata tukikutana i wil give you a genuine hug na smile huyoo, unless uwe mpuuzi, ambapo itabidi tu nikuignore kikubwa (ila nshasamehe). Niache kupenda kisa mtu mmoja, na moyo wangu ulivyo na kiherehere hivi cha kupenda mweee. Revenge, Kukaa na maumivu au kinyongo, kunaumiza mnoo better kusamehe. No matter how long it will take, ntasamehe tu na Mungu azidi kunisaidia. Tena inabidi kujifunza kusamehe in advance, kwa amani ya moyo wako of course, sio kila atakayekukosea atakuomba msamaha.
Kumbe muuguzi mwenzangu, njoo PM kama hutojali...hahaha hakuna muuguzi asiyejua kusamehe na kuanza upya.
Teh sio uuguzi "profession" bana
Hahahaha...basi kama sio muuguzi pm usije,
 
Pole mkuu,,,hamna kitu kibaya kama kusalitiwa...Hongera kwa upendo wako kwa mapacha wako,hizo ni baraka pia.
Kwangu naona hamna kosa kubwa ulofanya kuachana na huyo mstareheshaji,labda hapo tu pakupita mitaro usiozoea.

Changa karata ujipatie jiko,mpate kuwalea mapacha vizuri...Pole,haya mambo ni kumtangulza Mungu,otherwise, unaweza kuwa mtu katili sana
 
Pole mkuu,,,hamna kitu kibaya kama kusalitiwa...Hongera kwa upendo wako kwa mapacha wako,hizo ni baraka pia.
Kwangu naona hamna kosa kubwa ulofanya kuachana na huyo mstareheshaji,labda hapo tu pakupita mitaro usiozoea.

Changa karata ujipatie jiko,mpate kuwalea mapacha vizuri...Pole,haya mambo ni kumtangulza Mungu,otherwise, unaweza kuwa mtu katili sana
Nakuelewa mkuu, ila haya mambo hayaeleweki,unaweza kutafuta faraja ukarudi kule kule mwanzo

Watoto ni faraja tosha
 
Mkuu hongera sana kua na roho ya kusamehe na kusahau, ila wengine inatuchukua muda kutoa msamaha na kusahau maumivu!!
Binadamu tunatofautiana sana!!
Namshukuru Mungu mno kwa neema hiyo, maana sio kwa ujanja wangu. Naamini ipo tu siku yako, neema hiyo itakujia pia, ipokee tu mpendwa. Forgiveness is one of the greatest gift you can give yourself. Your soul deserves peace
 
Nakuelewa mkuu, ila haya mambo hayaeleweki,unaweza kutafuta faraja ukarudi kule kule mwanzo

Watoto ni faraja tosha

Tafuta experienced lady,,,pamoja na maumivu yote ulopitia, mji(familia) ni muhmu kwa wanao na wajukuu zako...Maji hufuata mkondo,tengeneza mkondo sahihi kwa wanao
 
Namshukuru Mungu mno kwa neema hiyo, maana sio kwa ujanja wangu. Naamini ipo tu siku yako, neema hiyo itakujia pia, ipokee tu mpendwa. Forgiveness is one of the greatest gift you can give yourself. Your soul deserves peace
Ila mkuu,kama mtakua mmenielewa vyema,sina kinyongo tena!! Tukikutana ntampa a hug, five min chat ila that's it,simtaki anywhere near my life tena!! Yote nliyofanya was to get some peace tu.
 
Pole sana. Ni mitihani tu ya maisha, sidhani kama ni sahihi kujitoa kwenye mahusiano kabisa kwasababu ya makosa ya mtu mmoja. Tafuta binti unaendana nae (ukiwa tayari) jenga familia. Tatizo la kuwa single utakuwa na rough lifestyle sana, yaani utawabadilisha sana kitu ambacho ni hatari zaidi.
 
Ila mkuu,kama mtakua mmenielewa vyema,sina kinyongo tena!! Tukikutana ntampa a hug, five min chat ila that's it,simtaki anywhere near my life tena!! Yote nliyofanya was to get some peace tu.
Nimekuelewa vizuri mwaya, na wala I can't blame you for what you did, as tunatofautiana sana jinsi ya kudeal na maumivu yetu. Ingawa sometimes njia tunazozitumia kudeal na maumivu yetu huwa zinatuumiza zaidi kuliko kuleta furaha ndo maana tukashauri mtu kusamehe. Na mara nyingi mambo mabaya yanakuja bila kugonga hodi, ni vyema kumuomba Mungu kwanza ili kupata utulivu na hivyo usikurupuke kufanya maamuzi mabaya kwa sababu ya maumivu. It's ok huna kinyongo na huyo dada, Ila you have given up on love kutokana na kilichokukuta. Sio kitu kizuri honestly, achilia hiyo resentment au mawazo hasi, usifanye moyo wako kuwa mgumu. Fungua moyo wako uone what love can offer you Coz you never know what's around the corner. Chukulia tu kile Kilichokutokea kama ajali, kama somo, kama step tu ya kukufanya uione dunia kwa upande mwingine na kuwa mtu bora zaidi. Every pain has something beauty in it, it was a blessing in disguise. Huyo dada asingekuzingua kuna vitu Leo hii ungekuwa huna au usingepitia situations fulani nzuri nzuri etc. Love is such a beautiful thing, especially ukimpata wa "kubalace/ kuonana" naye. But again kama hujisikii Kuwa kwenye mahusiano kwa sasa, basi relax tu, endelea kuenjoy maisha. Someday Love will find you
 
moyo wa kusamehe ni zawadi MAALUMU toka kwa mungu..!

sio ngozi ya mwili kila mtu kapewa

Ni kweli mkuu kama mm mtu akinikosea najitahid kumsamehe lkn nashindwa najikuta nalipiza kisasi.
 
Huyu mwanamke alikosea sana kutoa tigo, nilichojifunza hata ukimkosea MTU kiasi gani usikubali akutoe utuwako ili upate msamaha wake.
 
Pole sana. Ni mitihani tu ya maisha, sidhani kama ni sahihi kujitoa kwenye mahusiano kabisa kwasababu ya makosa ya mtu mmoja. Tafuta binti unaendana nae (ukiwa tayari) jenga familia. Tatizo la kuwa single utakuwa na rough lifestyle sana, yaani utawabadilisha sana kitu ambacho ni hatari zaidi.
Inaingia akili ikiwa na mashiko mkuu...!

Ila mkuu 2017, nakusihi umuombe mungu akusaidie kukupata yule atakekidhi mahitaji ya ndoa njema..

Macho yetu yanatudanganya sana..

[emoji120]
 
Nimekuelewa vizuri mwaya, na wala I can't blame you for what you did, as tunatofautiana sana jinsi ya kudeal na maumivu yetu. Ingawa sometimes njia tunazozitumia kudeal na maumivu yetu huwa zinatuumiza zaidi kuliko kuleta furaha ndo maana tukashauri mtu kusamehe. It's ok huna kinyongo na huyo dada, Ila you have given up on love kutokana na kilichokukuta. Sio kitu kizuri honestly, achilia hiyo resentment au mawazo hasi, usifanye moyo wako kuwa mgumu. Fungua moyo wako uone what love can offer you Coz you never know what's around the corner. Chukulia tu kile Kilichokutokea kama ajali, kama somo, kama step tu ya kukufanya uione dunia kwa upande mwingine na kuwa mtu bora zaidi. Every pain has something beauty in it, it was a blessing in disguise. Huyo dada asingekuzingua kuna vitu Leo hii ungekuwa huna au usingepitia situations fulani nzuri nzuri etc. Love is such a beautiful thing, especially ukimpata wa "kubalace/ kuonana" naye. But again kama hujisikii Kuwa kwenye mahusiano kwa sasa, basi relax tu, endelea kuenjoy maisha
Ushauri murua kabisa.
 
Nimekuelewa vizuri mwaya, na wala I can't blame you for what you did, as tunatofautiana sana jinsi ya kudeal na maumivu yetu. Ingawa sometimes njia tunazozitumia kudeal na maumivu yetu huwa zinatuumiza zaidi kuliko kuleta furaha ndo maana tukashauri mtu kusamehe. It's ok huna kinyongo na huyo dada, Ila you have given up on love kutokana na kilichokukuta. Sio kitu kizuri honestly, achilia hiyo resentment au mawazo hasi, usifanye moyo wako kuwa mgumu. Fungua moyo wako uone what love can offer you Coz you never know what's around the corner. Chukulia tu kile Kilichokutokea kama ajali, kama somo, kama step tu ya kukufanya uione dunia kwa upande mwingine na kuwa mtu bora zaidi. Every pain has something beauty in it, it was a blessing in disguise. Huyo dada asingekuzingua kuna vitu Leo hii ungekuwa huna au usingepitia situations fulani nzuri nzuri etc. Love is such a beautiful thing, especially ukimpata wa "kubalace/ kuonana" naye. But again kama hujisikii Kuwa kwenye mahusiano kwa sasa, basi relax tu, endelea kuenjoy maisha
"..binti asingekuzingua, kuna vitu ungekosa.."

SENSATIONAL [emoji122]

Everything Happens With some Reasons

Lets take Advantage of Anything Attacking Us In Negative way Holding Positive Attitude In Our Mind to Neutralize The Problem..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom