Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Duh.., sasa ulienda kumpa Hi ili iweje?
Ungemkaushia tu ingekuwa poa zaidi!
Mkuu naomba kueleweka,sina kinyongo tena na nlishayasahau, ila kwa sasa sihitaji awe kwenye maisha yangu kwa namna yoyote ile ndo maana nilifuta hata mawasiliano aliyonipa hio jumamosi, lakini tukikutana kwa bahati mbaya siwezi kumnyima a hug or a five minute chat. That's all I can offer, hii inaonyesha maturity!! Mimi ni MTU mzima na sidhani kama itakua njia sahihi 'kumkaushia' MTU ninayefahamiana nae no matter the circumstances!!! But then again,that's just me!
 
Wanawake wanapenda ndoa lakini hawawapendi wanaowaoa lakini wanaume hawapendi ndoa lakini wanapenda wanawake....nawapenda wanawake kama mama zangu na wanaume kama baba zangu hao wengine upuuzi mtupu
 
Sasa wewe ulimpataje wenzako washindwe?

Hakuna usaliti hapo. Wote nyie mlikuwa waasherati, kwani mlikuwa mmeoana?

Halafu ujuwe una uhaba wa nguvu za kiume ndiyo maana akawa analiwa, hukumtosheleza.
Kutomtosheleza pia inawezekana mkuu(sadly am too old to brag about sexual capabilities)
Ila kama kutotoshelezwa ndio chanzo cha usaliti mkuu, na ukifatilia kwa sasa katika mahusiano 10 unakuta 8/10 yana usaliti,kwa nantiki yako ni kwamba
Karibia 80% ya wanaume hawana nguvu za kiume?????

Nguvu za kiume inaweza kua moja wapo ya sababu za usaliti ila sidhani kama ndio sababu pekee ya usaliti, that being said, I expected someone of your calibre to understand this more.

Well, I was wrong.
 
Labda hukuwa unamfikisha ndo sababu kaamua kutafuta ukuni wa unaoweza kuivisha chakula barabara.
 
Mh mapenz wee.... Cku hz nna msemo mmoja tu ukishkwa shkamana
 
Sometimes you have to give people the taste of their own medicine, im not blaming you for a revenge coz i know at least you feel released. Hata huyo amenenepa sababu ya stress, stress zinanenepesha so you won. Ila you guys jaribuni kuvaa kiatu cha mwanamke ambae umemsaliti halafu hana uwezo wa kukufanya chochote, yale maumivu ya ndani kwa ndani you can even rum mad, it real pains! Pole sana Mkuu! So what are your plans for the future? Are you still single or with someone? I think we can make a good couple as i have passed on the same situations and experienced enough! These r/ships has no formula, use your head but take your heart with you.
anora its better na ww utushirikishe wht happened to u? it seem now days relationship ni changamoto saaaaana,
 
Back
Top Bottom