ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,748
- 42,226
Kwanini afute vumbi😂😂safi simama jifute vumbi songa mbele mzee
Kwanini afute vumbi😂😂safi simama jifute vumbi songa mbele mzee
😂😂 si ndiyo, niambie wewe unaweza tembea ukiwa na vumbi kwenye nguo?Kwanini afute vumbi😂😂
Na kwanini ni kalie vumbi hakuna vikalio mean vitu vya kuvikalia kuepka hilo vumbi😎😂😂 si ndiyo, niambie wewe unaweza tembea ukiwa na vumbi kwenye nguo?
😂😂haya hapo umenishindaNa kwanini ni kalie vumbi hakuna vikalio mean vitu vya kuvikalia kuepka hilo vumbi😎
💯Hakika mkuu.safi simama jifute vumbi songa mbele mzee
T K O😂😂haya hapo umenishinda
😄sawa mtaalamu wanguT K O
vipi, ulimpata? au uliamua kumfundisha adabu akafie mbele!Sikubaki kizembe nikaenda Tanga mkuu...
Kama ulikuwepo😁
saivi mimi ndo nitakubembeleza😄😄😄Unataka kusemaje sasa ukiwa umekua😂🙌
yupo anatutafutia chochote kitu😄babaake amekimbia nyumba,itakua unampelekesha sana
Ewaa, hapo safii huku nabembelezwa huku nafurahia ufufuo😁🙌 Raha hizi..saivi mimi ndo nitakubembeleza😄😄😄
ushindwe kunenepa tu🤭😄Ewaa, hapo safii huku nabembelezwa huku nafurahia ufufuo😁🙌 Raha hizi..
Heri ya pasaka minSijaelewa , yani nan na wapi ?
Na wewe pia kapeace, pasaka leo wapHeri ya pasaka min
Ukitoka kirima, unavuka moto isie unaingia boro, halafu unavuka moto umbwe unaingia sambarai.Sambarai kwa watani? Hiyo ipo wapi
Hapo nimekupata , itabidi niwe mtembeaji, na chakushangaza nyumbani sipajui vizuri ila uchagani yote naijua nnje ndani kuanzia machame uru marangu old mosh sia kirua mpaka tarakea😅Ukitoka kirima, unavuka moto isie unaingia boro, halafu unavuka moto umbwe unaingia sambarai.