Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,594
- 53,375
nikikuambia mimi mchungaji umini sasa,nilikuambia mwanzo hapo kuwa mbona naona kama bado anaishi moyoni mwako uksema nononoooo 😂😂 hii comment imemaliza utata, mtafute basi muyajenge achana na team kataa ndoa kuna vitu walikunywa team kataa ndoa usiingie kwenye mkumbo🤣Jamaa alikua husband material kabisa,muda wote anataka ufurahi,kakutana na Mimi Team kataa ndoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣