Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,594
- 53,375
haitatokea kwa kuwa wanakuja kwaajili ya kuombewa tu 😁😁😁nasubiri ushuhuda wako au bado hauja kutana na manyau nyau ya jihefu😄
haitatokea kwa kuwa wanakuja kwaajili ya kuombewa tu 😁😁😁nasubiri ushuhuda wako au bado hauja kutana na manyau nyau ya jihefu😄
Sambarai kwa watani? Hiyo ipo wapiSambarai arifu..... Hivi unajua boro parokia ipo...
Na mzigo sikupata😂🙌🏿😭Aliniuliza huku kaniweka loudspeaker,
"kwani nilikulazimisha unipende?
Vitu unavyonipa sikukuomba🥹"
Bora angeishia hapo, nikasikia na vicheko kutoka upande wa pili
(Hapo nilikuwa najitia najua saana kujiongeza kumjali mchumba kwa vicent ili kumpungizia vishawishi!!)
Ukitoka msiba wa mzee wangu hii huwa n simulizi ya uchungu inayofata.
Na mzigo sikupata🏃🏃
Alikuwa mtu kweli kweli🤗🤗🤗🤗🤗🤗mkuu inaonyesha una ka experience fulani hivi amazing share basi
Hahahaha hakuna hata mmoja alowahi kukimbia na sadaka?haitatokea kwa kuwa wanakuja kwaajili ya kuombewa tu 😁😁😁
hakuna hata mmoja nasoma yakiyowakuta wadau tuHahahaha hakuna hata mmoja alowahi kukimbia na sadaka?
sawaaa,, Siku kikikulamba urudi kutafuta huu uzi 👌😄hakuna hata mmoja nasoma yakiyowakuta wadau tu
😁😁😁ila ndugu yangu uchokozi unao
Yaliyopita 🚮🚮The past is gone daughter.. I have nothing to do with it.. Only memories to remember📌🔨
Mtu akipata UKIMWI ndio huwa anajua yaliyo pita ni ndwele .Yaliyopita 🚮🚮
New beginning 🥂
Step dad acha basi 😁Mtu akipata UKIMWI ndio huwa anajua yaliyo pita sio ndwele .
Sina nenoStep dad acha basi 😁
Huo ugonjwa na manifest niishie kuusikia tu sitaweza kuhimili mimi 🥹🙌Mtu akipata UKIMWI ndio huwa anajua yaliyo pita sio ndwele .
Alikuwa mtu kweli kweli🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Urafiki wetu uliendaaa baadae tukashibana sana,alikuwa ananitambulisha kwa ndugu zake na marafiki zake wengine kama rafiki yake,nikaja nikampotezea baada ya kumuona anaanza kuniweka kwenye target zake🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Mungu ampe maisha marefu huko aliko rafiki yangu!!