Alikufanyaje, Ukamfanyaje? Bad experience za kuumiza

Alikufanyaje, Ukamfanyaje? Bad experience za kuumiza

Aliniuliza huku kaniweka loudspeaker,
"kwani nilikulazimisha unipende?
Vitu unavyonipa sikukuomba🥹"

Bora angeishia hapo, nikasikia na vicheko kutoka upande wa pili
(Hapo nilikuwa najitia najua saana kujiongeza kumjali mchumba kwa vicent ili kumpungizia vishawishi!!)

Ukitoka msiba wa mzee wangu hii huwa n simulizi ya uchungu inayofata.

Na mzigo sikupata🏃🏃
 
Back
Top Bottom