kwahiyo ndugu kesi yako ilianzia hapo😁
wabaki na maumivu yaoUnawaonea log🤣
ipo siri nyuma ya unyongeumewaza nini mkuu😂😂mbona umeandika kwa unyonge😪
Hahha sina kesi mkuu, ilijipost bahati mbaya tu ni kaona sio mbaya kuiacha kwa faida ya wale wa chaputa😊kwahiyo ndugu kesi yako ilianzia hapo😁
Ili msahau ya kiziga 🏃♂️🏃♂️🏃♂️ Eeh Yesu nisaidie🏃♂️🏃♂️🏃♂️😂😂😂 michezo ya chama chawala hiyo
umeelewa nini nisaidie mimi badoUmechelewa kuelewa kuwa nilishaelewa
Pole sana DadYes it was wayback 2014
ibada yangu kesho kondoo wangu karibu sana ibadaniMambo yangu haya nishatia timu kitambo!
Vipi ba mchungaj leo huna misa ya usiku?
Unitumie basi kavideo jinsi unavyotoa neno☺️ibada yangu kesho kondoo wangu karibu sana ibadani
nasubiri ushuhuda wako au bado hauja kutana na manyau nyau ya jihefu😄ipo siri nyuma ya unyonge
Nimeelewa kuwa bado haujaelewa kuwa nilishaelewa japo nimekulewesha kuwa tayari Nimeelewa , hivyo nakujulisha nilisha elewa, sijui kama umeelewa?[FONT=Poppins, Monaco, Menlo, Consolas, Roboto Mono, Andale Mono, Ubuntu Mono, monospace]umeelewa nini nisaidie mimi bado [/FONT]
Sambarai arifu..... Hivi unajua boro parokia ipo...Kirima au?