BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
hujui kuwa kizuri kula na nduguzo?
Ni kweli wapo wengi ila bado ananipenda mimi.....tehe!
Anajua anachokikosa kwangu kwa sasa lol.....na hawezi kukipata kwa mwingine!
Haya nambie ile pete ya jana ilipata mvaaji?
kwa tamko hili nimeamini we na nitts you still feel for each otherNi kaka ako kweli lakini mbea sana bana!.....ataanza kuleta umbea hapa!
hujui kuwa kizuri kula na nduguzo?
Hahahaha Bishanga wewe hujajaliwa?
mmhh hebu nijuze kidogo kitu gani hicho hawezi kukipata kwingine?
Ile pete imekosa mvaaji wanahofia vidole vyao vitakatika si uliona ilivyokuwa uzito tu robo kilo.
kwa tamko hili nimeamini we na nitts you still feel for each other
\Vp mkuu...una toothpick?
\
Tobaaaaaaaaaa hapa waniuliza mie tena????
Heheheheee we nipe lawama tu ila kilichokufanya umwache mkeo bila kumpa haki ya ndoa mwezi mzima nani? Ndo ujifunze...acha wanaojua kutunza wawape raha ladies! Pole sana nitonye na hongera Vin disielNilimpenda sana sweetylady ila nimegundua hakuwa na mapenzi ya kweli kwangu. Ameweza kudanganyika na akina Vin Diesel huku akichochewa na Erickb52. Mapenzi kweli kuzunguzungu
Leo lawama zote zitakuja kwangu...kwanza The secretary nakushauri unyamaze coz kilichokufanya umwambie Remmy simtaki kisa nakupenda nani? We nilikuwa nawewe ili nijapatie walau vijicent ulivyokwapua kwa Bishanga thats why nshakutua pwaaaaaaaa km pishi la mchele niko najiandaa kuhamishia mapenzi kwa Madame B ili ruttashobolwa aonje tamu ya kuchongachonga mdomo. NUKTA.Halafu Erickb52 ni sharo fulani hivi anawatesa sana wazee kwa vijana wa chit chat mi hanipati hata kwa kuuza matikiti hawa vijana wa Arachuga tabu tupu hebu ona Arushaone anavyoruka vihunzi
Tatizo mnashoboka na masharo wa Arachuga watawatenda mbofu we Bishanga alisema anaanza kukupenda mbona hujamfatilia dawa ni kushoboka na vibabu japokuwa havijatulia