Habari wanajukwaa! Mimi naamini mapenzi ya kweli hutakiwi kutumia nguvu nyingi kuyapata, ila pia naamini mapenzi ya kweli ni kupata wa kufanana nae ili usiwe unajieleza sana kwake. Kwa umri wangu huu wa makamo bado natafuta mtu wa namna hiyo. Mtu ambae tunaendana, na ni sawa kwangu kama sitampata ntasubiri next life.
Sifa zangu.;
1. Mimi ni mwanamke umri 35 na wakawaida sana( maana hamchelewi kuulizia tako)
2.Napenda amani ya moyo wangu
3. Napenda Imani yangu ya kikristo ila sio mlokole.
4. Sio mpenzi wa sex. Hata nisipofanya kwa muda mrefu hainipi shida.
5. Ninayo shughuli ya kuniingizia kipato.
Sifa za mwanaume nimpendae.
1. Umri kuanzia 35-40
2. Anayependa amani ya moyo wake na asiwe na Mambo mengi.
3. Mkristo
4. Asiwe mpenda sex sana (hapa ni muhimu maana asijeona ananyimwa haki ya msingi)
5. Napenda mwanaume smart kichwani( ye ndio kichwa wa Familia)
6. Awe na shughuli ya kumwingizia kipato.
Napenda Familia na napenda watoto ila naamini katika wakati sahihi kwenye maisha.
Sifa zangu.;
1. Mimi ni mwanamke umri 35 na wakawaida sana( maana hamchelewi kuulizia tako)
2.Napenda amani ya moyo wangu
3. Napenda Imani yangu ya kikristo ila sio mlokole.
4. Sio mpenzi wa sex. Hata nisipofanya kwa muda mrefu hainipi shida.
5. Ninayo shughuli ya kuniingizia kipato.
Sifa za mwanaume nimpendae.
1. Umri kuanzia 35-40
2. Anayependa amani ya moyo wake na asiwe na Mambo mengi.
3. Mkristo
4. Asiwe mpenda sex sana (hapa ni muhimu maana asijeona ananyimwa haki ya msingi)
5. Napenda mwanaume smart kichwani( ye ndio kichwa wa Familia)
6. Awe na shughuli ya kumwingizia kipato.
Napenda Familia na napenda watoto ila naamini katika wakati sahihi kwenye maisha.