nitts,at last umefunguka,ndugu yangu i fought for you,angani,baharini,nchi kavu kote nilipambana kulinda mahusiano yako na SL,hakika mahusiano hayo tulipenda yadumu lakini Mungu aliyapenda zaidi.
Ushauri wa bure:
Tulia,relax,jitie hamnazo,iko siku SL atakuangukia we mwache tu hamjui Vin Diesel,mtesaji sana wa wanawake yule.
Nilimpenda sana sweetylady ila nimegundua hakuwa na mapenzi ya kweli kwangu. Ameweza kudanganyika na akina Vin Diesel huku akichochewa na Erickb52. Mapenzi kweli kuzunguzungu
Nilimpenda sana sweetylady ila nimegundua hakuwa na mapenzi ya kweli kwangu. Ameweza kudanganyika na akina Vin Diesel huku akichochewa na Erickb52. Mapenzi kweli kuzunguzungu
Kaka mimi natulizana acha yeye aendelee na muhuni wa kariakoo
pole sana my shem, ngoja akija toka sokoni ntamwambia kilio chako
sis sweetlady ni nini umemfanya my shem?????
Nilimpenda sana sweetylady ila nimegundua hakuwa na mapenzi ya kweli kwangu. Ameweza kudanganyika na akina Vin Diesel huku akichochewa na Erickb52. Mapenzi kweli kuzunguzungu
Halafu Erickb52 ni sharo fulani hivi anawatesa sana wazee kwa vijana wa chit chat mi hanipati hata kwa kuuza matikiti hawa vijana wa Arachuga tabu tupu hebu ona Arushaone anavyoruka vihunzi
Halafu Erickb52 ni sharo fulani hivi anawatesa sana wazee kwa vijana wa chit chat mi hanipati hata kwa kuuza matikiti hawa vijana wa Arachuga tabu tupu hebu ona Arushaone anavyoruka vihunzi
Tatizo hapa kaingia kwenye mikono ya walaghai
Nilimpenda sana sweetylady ila nimegundua hakuwa na mapenzi ya kweli kwangu. Ameweza kudanganyika na akina Vin Diesel huku akichochewa na Erickb52. Mapenzi kweli kuzunguzungu
nitts,at last umefunguka,ndugu yangu i fought for you,angani,baharini,nchi kavu kote nilipambana kulinda mahusiano yako na SL,hakika mahusiano hayo tulipenda yadumu lakini Mungu aliyapenda zaidi.
Ushauri wa bure:
Tulia,relax,jitie hamnazo,iko siku SL atakuangukia we mwache tu hamjui Vin Diesel,mtesaji sana wa wanawake yule.
Bahati mbaya sweetlady yupo mmoja na hakuna mwingine zaidi ya huyu nilie nae....pole sana kijana nakushauri ukubali matokeo tu.
Sina msaada wowote kwako kwenye hili
Na kwa taarifa yako na kwa wambea kama Bishanga.. Vin Diesel na sweetlady ni mpaka kwa Mungu hatuachani
Ila usimzuie kuja kuangalia mtoto wangu mtoto bado anahitaji malezi ya mama yake