Mwaaaaa honey.....ningekugongea like sema niko via mchina!
Afu sasa hachafuki mtu hapa.....labda wanigaragaze kwenye tope!
hata mie nilisikitika sana SL kukumwaga, ama kweli wanawake hawana muamana.
Nimekuona ukanikumbusha enzi zile na mie bado 'virgin' hapa jamvini ndio nahangaika na baba watoto lol
hivi akirudi utampokea?? Ila mke mtamu jamani.
sis ndo nilitaka kushangaa, wakati me siku zote namtambua Vin Diesel ndo shem wangu wa ukwee!!!!!
Niliposema muwe mnapitia kwenye kamati kuhusu hayo mahusiano yenu niliona mbali na nilijua shit happens,wengi wenu mkawa wabishi matokeo yake ndo haya,hakuna nidhamu wala woga,mnaumizana umizana tu!! So sad! Erickb52 nimeskia umetajwa kuhusika kuvunja ndoa ya nitonye na sweetlady,ndo majukumu nilokukabidhi hayo? Nahitaji majibu au la nafasi yako itakwenta kwa Mtalingolo
sis ndo nilitaka kushangaa, wakati me siku zote namtambua Vin Diesel ndo shem wangu wa ukwee!!!!!
Hawezi kuacha kunipokea......hana jeuri hiyo
Sema mie sina mpango wa kurudi lol......alintesa vya kutosha Kongosho.......we uliona wapi mwanaume anasafiri miezi 6 tena bila kuaga?.....akirudi utasikia Oooh wife am sorry shetani kanipitia! Akuuuuuu!
Shetani alimpitia au yeye ndio alimpitia shetani...ashindwe kijana huyu
Hawezi kuacha kunipokea......hana jeuri hiyo
Sema mie sina mpango wa kurudi lol......alintesa vya kutosha Kongosho.......we uliona wapi mwanaume anasafiri miezi 6 tena bila kuaga?.....akirudi utasikia Oooh wife am sorry shetani kanipitia! Akuuuuuu!
Hahahaha wametoroka wote na kakake lol
chagua ingine kama imekuzingua si unaona warembo wapo wengi...
Unajua jinsi gani nilivyokuwa nahangaika huku na kule ili kuhakikisha familia yetu inakuwa bora na mtoto wetu anapata maisha bora. Najua haikuwa akili yako bali ni watu wabaya waliokuwa wanatuzunguka.
Unajua jinsi gani nilivyokuwa nahangaika huku na kule ili kuhakikisha familia yetu inakuwa bora na mtoto wetu anapata maisha bora. Najua haikuwa akili yako bali ni watu wabaya waliokuwa wanatuzunguka.