Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Ameandika wakili msomi Tundu lissu

Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu. Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku.

Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi.

Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi kesi hakuna.
Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa [emoji38]
 
Mtoto mpendwa wa bwana yule hajazungumzia hata kidg y mkoa wake umekua duni kwenye matokeo ya CSEE
 
Ukiona muvi imehamia mahakamani ujue unakaribia kuyaona maandishi madogomadogo yanayotokaga chini yanapanda juu, maana sterling amekaribia kuuawa halafu =END=
[emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] umetisha sana
 
safari hii CDM wamekuja na style ya kuwapokea watuhumiwa wote
kwao ni ushindi
Inasikitisha sana kama mkulukulu anafuata sheria kwa kudai kuwaondoa wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa, wanandoa hewa, n.k. anasikia Daudi kuwa ni Mkuu hewa *mpaka sasa hivi yuko kimya*
 
Tundu kachemka ni wazi sheria inakataza kuzungumzia kesi iliyopo au inayoendelea mahakaman.sio kila jambo aongee tu.watu wenye weledi wao wanamshangaa tu
Fikiri nje ya chupa...jiongeze
 
Katafute cheti cha form four kilaza wewe..... Mi sio size yako.
Naomba uandike essay ya maneno ya 500 kulaani jinsi Mh. MAKONDA alivyowatangaza ktk vyombo vya habari watuhimiwa wa madawa ya kulevya. Andika kwa lugha ya kiingereza mimi nitaweka cheti changu cha form 4 & 6 na vyeti vya elimuvyangu ya juu hapahapa ktk thread hii. Naomba tuende pm nikuunganishe teleconference sasa hivi wakati unaandika. Nataka usijiandae na asikusaidie mtu. Naomba tafuta shahidi unaemuamini wewe ashuhudie hili tukio kwa ushahidi zaidi.
 
Kwa hiyo gram moja ni ndogo sana au? Mbona anasisitiza sana kuwa siyo kilogram?
Kilo moja =1000grm
Nusu kilo= 500gm
Robo kilo= 250grm,
Sasa grm 1.08 Ni kidunchu Sana, hofu Yangu wakiombwa kidhibiti Na mzani waliotumia kupata huo uzito.
 
Naomba uandike essay ya maneno ya 500 kulaani jinsi Mh. MAKONDA alivyowatangaza ktk vyombo vya habari watuhimiwa wa madawa ya kulevya. Andika kwa lugha ya kiingereza mimi nitaweka cheti changu cha form 4 & 6 na vyeti vya elimuvyangu ya juu hapahapa ktk thread hii. Naomba tuende pm nikuunganishe teleconference sasa hivi wakati unaandika. Nataka usijiandae na asikusaidie mtu. Naomba tafuta shahidi unaemuamini wewe ashuhudie hili tukio kwa ushahidi zaidi.
Mimi sio size yako.... Kuandika majina tu unashindwa utaweza mengine.... Hicho cheti cha form four si ungewapa wanahabari kama unacho?

Halafu nakuzaa kabisa wewe ndo mana nimekwambia si size yako.
 
Wema ni cerebrity lkn ana impact saana kwenye siasa ya kibongo na kwa maelezo yake honest anaonekana anaongea kutoka moyon na ameamua yupo tayari kwa lolote ogopa saana mtu akiwa anasema nipo tayar kwa mapambano..nipo vitan
 
Back
Top Bottom