Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganta wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him
Police walipata habari kutoka kwa makonda lini....?? Na walifanya sachi baada ya muda gani???
 
Mweupe imekugusa hyo.tulia iingie acha ujinga kushabikia shabikia mambo ..tulia tafakari ndio uje hapa,ficha ujinga wako
Unajidhihirisha kuwa ni Mweupe mana unadai habari ya udaku halafu nawe unaandika kikekike au ustaarabu wako washauharibu
 
Level nyingine kwa kuropoka,emergency search anaizungumziaje.utakufa na boda boda lako hilo unadhani kiloba hizi issue
Kama unaona unawakili wa serikali ni issue sana mbona Lissu anawahenyesha kwenye kesi wanazomshtaki?
 
Ombi langu kila siku kwa Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ni kwamba; baba Mungu mimi nilishindwa kusoma kama Tundu Lisu lakini nakuomba mwanangu asome kama yeye. Baba ninaomba na kuamini Amina. Nitaendesha hii bodaboda mchana kutwa nitafute ada na naamini ataenda tu hata huko Marekani ili ajue sheria kwa undani
amen tatizo LA tundu lisu sio mnafiki
 
Unajidhihirisha kuwa ni Mweupe mana unadai habari ya udaku halafu nawe unaandika kikekike au ustaarabu wako washauharibu
Umevurugwa wewe.nani kasema habar ya udaku nishasema soma tulia tafakari...chukua hatua ustaarabu hata huujui wewe
 
Na vyeti vyake vya kugushi mbn atumbuliwi na yy ni jipu tu alafu Jana clouds awakumuulza Yale maswali tulyiyatgmea kama walvyokuwa wanamcfia kwny kutaja watu wa wanaosadkiwa ni wauza unga au kwa kuwa clouds nao ni redio ya taiga b na muache unafk
 
akyamungu tundu lissu kanifanya nianze kulipenda somo la sheria japo umri umenitupa mkono siwez kuingia darasan tena..!!
 
Umevurugwa wewe.nani kasema habar ya udaku nishasema soma tulia tafakari...chukua hatua ustaarabu hata huujui wewe
Usichangie mada ukiwa tumbo wazi mpaka unasahau ulichokisema au unajua ku quote ila unachokiandika hukielewi.
 
Police walipata habari kutoka kwa makonda lini....?? Na walifanya sachi baada ya muda gani???
Siku hiyo ndio walipata taarifa msuba huo ulikuwa unafanyiwa ndugu zake walikuwa na mpango wa kwenda kuhamisha vitu kwenye chumba chake , na wangechelewa basi wangekuta vitu vimehamishwa , na kwakuwa hawakujua ni nini hicho kilichotakiwa kuhamishwa walikwenda kupekuwa kwa dharura ( emergency search) na Mungu sidia ' MSUBA" huoooooooooo!!! waka u "seizure" na baada ya kuhojiwa kwa kina mwanamama huyo alikubali kumuliki kitu hicho haramu na kukitumia, na hata mtu wa karibu saaaana na mama yake ( rejea audio) amekiri binti huyo anayeonekana kwa macho ni mrembo kumbe anatumia dude hilo hatari.
 
Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganta wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him
Yaan huwa ni kapuuzi sijapata kuona,ya yule bwana kule arusha imemshinda
 
Usichangie mada ukiwa tumbo wazi mpaka unasahau ulichokisema au unajua ku quote ila unachokiandika hukielewi.
Bora tumbo wazi,kuliko empty head yako mwanaume mzima unasifia ujinga tu hapa,eti nawe ukute ni kichwa cha familia.ebu kajielimishe kwanza fuatilia nilisema nini toka awali.
 
Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganta wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him
Sio yeye sasa ni sheria mkubwa
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Kwa hiyo gram moja ni ndogo sana au? Mbona anasisitiza sana kuwa siyo kilogram?

Nadhani anajaribu kuonyesha kuwa ilikua ndogo sana kiasi kwamba inawezekana iliwekwa au alibambikiziwa na polisi. Ndo mana kaweka msisitizo hapo na pia kaonyesha sheria ya kupga sachi kwamba hawakwenda mda unaoruhucwa kisheria. Walioweka sheria kwamba mwisho saa 12 jioni walikuwa wanaepusha coincidence kama hizi za kubambikiziana.
 
Kwa hiyo gram moja ni ndogo sana au? Mbona anasisitiza sana kuwa siyo kilogram?
Anamaanisha ni rahisi mtu kupenya nayo na kukupandikizia kama kidhibiti, angalia pia muda waliokwenda kusachi
 
hapo Stringi hajinyonga juu ya mti wa MPAPAI bira kuangusha hata Papai 1...je alifungaje kambaaaaaaiiii?????
 
Nadhani anajaribu kuonyesha kuwa ilikua ndogo sana kiasi kwamba inawezekana iliwekwa au alibambikiziwa na polisi. Ndo mana kaweka msisitizo hapo na pia kaonyesha sheria ya kupga sachi kwamba hawakwenda mda unaoruhucwa kisheria. Walioweka sheria kwamba mwisho saa 12 jioni walikuwa wanaepusha coincidence kama hizi za kubambikiziana.
Amesema haukuwa msokoto bali ni gram 1. hiyo ni blunt moja iliyoshehena, kama haina mbegu.
Gram moja is a fat ass blunt! Lol, simlaumu lakini.
 
Back
Top Bottom