Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganta wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him
Nenda kapambane nako haka kajamaa mahakamani. Nenda avogadro ila ujue pia kanajua hadi sheria kanuni ya newton
 
Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganta wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him
Ndo matakwa ya sheria
 
Sidhani kama hicho kifungu hakina exception
 
Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganta wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him
We si umeona sheria imesema.. Na huwa wanazingira nyumba mpaka asubuhi huwa hawakagui usiku acha wazimu
 
Lijualikali in prison, big brain at work. Seleman Mathew in prison, big brain at work. Godbless Lema in prison, big brain at work!
Tumia akili wakati mwingine.. Ukimtoa lema hapo hao wengine si walikuwa na mawakili wao au? Na kinachofanyika we si unakijua au? Subiri tarehe 26 ndio utazungumza mengine
 
Huwezi kujivunia kushinda kesi kwa kutumia 'teknikalitizi' za kimahakama. Jivunie kesi kwa kumtetea mdai ama mdaiwa kulingana na hali halisi ya tukio zima. Usitumie mbinu ovu kuvuruga haki ya mdai. Stivu, kadhibitisha anavuta...wameenda usiku wamekuta 'msuba' wewe unasema ameonewa....!!! ndiyo maana mukulu kulu anataka nanyi mfungwe nao hao wahalifu!
Kamuulize "Faru John" kwanini kila siku analia na kupiga mayowe na mawakili wa serikali? Maana inaonekana wanafanya unachoshauri, mwisho wa siku wanaangukia pua na kuiingizia serikali hasara, ambayo ndio sehemu ya makato ya kodi yako.
 
Issue ya madawa ya kulevya imeshabadilishwa. Sasa ni bangi. Cocaine mbali kabisa
 
!
!
hahahahaha huyu Tundu Lissu ni kiboko...na mmovie inaendelea aiseee hahahahaha mapambano yamehamia Mahakamani.
Ukiona muvi imehamia mahakamani ujue unakaribia kuyaona maandishi madogomadogo yanayotokaga chini yanapanda juu, maana sterling amekaribia kuuawa halafu =END=
 
Lissu ndio nani? wewe binafsi unajua nini kuhusu sheria !!!au kila uongo anaousema unaamini? Criminal procedure act , Tanzania police and auxiliary service act, pamoja na police general order umesoma vifungu vyote vinavyohusu upekuzi au unamwamini tuu huyo jamaa na mauongo yake?
Hivyo andeleeni kuvisoma ili mjibie mitihani, ila mnapokuja kwenye practice mnaonekana wa kudema dema mithili ya KUKU mwenye mdondo. Nikutahadhalishe tu bado mapema Kosomea UDEREVA WA GARI ni tofauti kabisa KUENDESHA GARI.
 
Tundu kachemka ni wazi sheria inakataza kuzungumzia kesi iliyopo au inayoendelea mahakaman.sio kila jambo aongee tu.watu wenye weledi wao wanamshangaa tu
 
Huwezi kujivunia kushinda kesi kwa kutumia 'teknikalitizi' za kimahakama. Jivunie kesi kwa kumtetea mdai ama mdaiwa kulingana na hali halisi ya tukio zima. Usitumie mbinu ovu kuvuruga haki ya mdai. Stivu, kadhibitisha anavuta...wameenda usiku wamekuta 'msuba' wewe unasema ameonewa....!!! ndiyo maana mukulu kulu anataka nanyi mfungwe nao hao wahalifu!
Haujawahi kuwa na ndugu aliyebambikwa kesi na polisi wa Tanzania ?
 
Back
Top Bottom