Sawa bingwa wa maneno na kejeli. Naona adolescence age inakusumbua. Kwa uandishi wako ni dhahiri kama umeenda shule bado haujaelimika. Unajihisi unajua kila kitu huku haujui kitu. Mimi nakushauri tu weka akiba ya maneno. If you want to be an egotistical bastard just make sure you are realy clever bastard close to genious.Mbona hata wewe una kiburi? Dhambi zote umebeba wewe... Narudia huwezi kumnywesha Mungu uji.....
Kwanza sijadiliani na vilazer... Mtu mwenyewe hata cheti cha form four huna!!
Kumsaidia mwananchi/wananchi ni kosa? Mbona mkulu kampigia simu mwanachi na kumsaidia umeoona la chadema tuNaona wanachadema busy na yasiyosaidia wananchi au kuwaletea maendeleo.
[Red]punguza povu kwanza ndo ukoment[/Red]Haka kajamaa ni kaongo kupitiliza na kanawadanganya wajinga na wanamwamini kuwa anajua yaani hata polisi wakipata taarifa saa sita za usiku kuwa nyumba fulani kuna silaha watasubiri asubuhi eti!!!!? shame upon him. Nilikuwa sijui nini maana ya '' MANYUMBU " leo nimejua
Anaweza akaulizwa vyeti,harafu hakakwama kujibu.Duh!! Ni hatari!! mpaka hapo hakuna kesi, Makonda hawezi kukubali kuhojiwa na Lissu, anajua atakavyodhalilishwa, na sidhani kama yuko tayari kwa hilo.
ana wa pre empty hii nayo ni mbinuSasa huyu wakili "msomi" mbona anaanza utetezi mitandaoni wakati kesi ipo mahakamani?
Huwezi kujivunia kushinda kesi kwa kutumia 'teknikalitizi' za kimahakama. Jivunie kesi kwa kumtetea mdai ama mdaiwa kulingana na hali halisi ya tukio zima. Usitumie mbinu ovu kuvuruga haki ya mdai. Stivu, kadhibitisha anavuta...wameenda usiku wamekuta 'msuba' wewe unasema ameonewa....!!! ndiyo maana mukulu kulu anataka nanyi mfungwe nao hao wahalifu!
Katafute cheti cha form four kilaza wewe..... Mi sio size yako.Sawa bingwa wa maneno na kejeli. Naona adolescence age inakusumbua. Kwa uandishi wako ni dhahiri kama umeenda shule bado haujaelimika. Unajihisi unajua kila kitu huku haujui kitu. Mimi nakushauri tu weka akiba ya maneno. If you want to be an egotistical bastard just make sure you are realy clever bastard close to genious.
Maana yake sio muuzaji ni mtumiaji. Ina mantiki mahakaman.Kwa hiyo gram moja ni ndogo sana au? Mbona anasisitiza sana kuwa siyo kilogram?
Mbinu potofu.ana wa pre empty hii nayo ni mbinu
Ha ha haaa !! dalili ya hisia fulani hivi kichwani mwako....(inasemekana kesi nyingi alizomudu huyu mheshimiwa ni kutokana na 'tekinikalitizi chakachuzi'; unataarifa hii Mkuu?)Acha povu
He deprives Peace.Kwako wewe ndio level nyinginr,mie kwangu he is just bluffing.. Continue praising him as you are dumb
Lema anahusiano gani na mada hapo juu!!!Kashindwa 'kumchomoa' Lema...mahabusu..!! Kumbuka ni mwanasheria mkuu wa Chama anawajibika kuwashughulikia wanachama wanaopatwa na maswahibu ya kimahakama. Kakimbilia sehemu anayodhani ni laini...ya mvuta 'msuba'!
---Leta hoja nyingine.
Pointi ni kwamba kama shida yao kweli ilikuwa kushughulika na bangi (dawa za kulevya)....kuna watu/Wasanii wangapi ambao Polisi wangeenda kwa kushtukiza na kukamata bangi tele tu na kuwasweka ndani hao watuhumiwa? kina 20 pa, mani fengo...wapo wengi tu.Kwa hiyo gram moja ni ndogo sana au? Mbona anasisitiza sana kuwa siyo kilogram?
Licha ya kupimwa marinda ashitakiwe kwa kutumia na kufoji chetiHamna kesi hapa ila naona lazima Daudi akapimwe marinda kwa mujibu wa Sugu
Share na mimi viwili tuNajifunza vitu vingi kuhusu sheria kupitia kwa muheshimiwa Lisu!
UnamkAna tenaLema anahusiano gani na mada hapo juu!!!