Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Ila kina Lissu nao wana maswalii duuu

Lissu:Umesoma

Shahidi:Ndio

Lissu: Una uelewa wa kidogo wa mambo ya sheria?

Shahidi: Mi hayo mambo ya sheria za mahakamani sijui,maana nilisoma Physics

Lissu: Hata Newton's Law of Motion si sheria pia?Nayo huijui!?

Shahidi: Najua...Zipo kama tatu

Lissu :Ok ok...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey
the law of gravity unless u shake it
well!!

Shahidi:Mimi hiyo sikuisoma

Lissu:Sasa kitu ulichosema unakifahamu,sasa unasema hujui,sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo hapa unaweza kuwa unaongea kitu usichokijua?

Shahidi:Sijui
 
Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi.


Sasa serikali inaajiri vipi watu wanaosema wamekwenda shule halafu wanafanya kazi bila kujua sheria kanuni za kazi wanayofanya? Je hawa watu wanafaa kuwa kwenye nafasi zao kweli~?
 
Sizonje tulikwambia.... Huwezi kumnywesha Mungu uji......
Hahahaha.... Kweli Makonda anawajambisha hadi mnakoma!

Yani chadema nzima sasa hivi inamjadili Makonda? Endeleeni tamati 2020 hii hapa!

Yani watu mmepigwa ban mikutano ya kisiasa ambayo ndio inawatambulisha kwa wananchi lkn ninyi mnachekelea tu, mnashangilia kushindana na Makonda mahakamani,? Hizi ni akili matope,?

Pole sana Lema..
Pole sana Ben Saanane

Hii ndio chadema inahangaika kumtetea mvuta bangi, alafu ninyi mmeachwa mnasota huko mliko!
 
Mimi sio size yako.... Kuandika majina tu unashindwa utaweza mengine.... Hicho cheti cha form four si ungewapa wanahabari kama unacho?

Halafu nakuzaa kabisa wewe ndo mana nimekwambia si size yako.
Kelele za nini twende tuandike insha kwa kiingereza. Acha maneno weka mziki wewe. Usijitie uchizi majinuni. Umri wako mdogo unautaka uzee. Kwa uandishi wako wa kitoto huu utamzaa nani anae nikaribia umri?
 
Chadema mbona mnasajili mchezaji wakati mechi bado miaka 7mbele
 
Kelele za nini twende tuandike insha kwa kiingereza. Acha maneno weka mziki wewe. Usijitie uchizi majinuni. Umri wako mdogo unautaka uzee. Kwa uandishi wako wa kitoto huu utamzaa nani anae nikaribia umri?
Kijana Mtihani wa kidato cha nne umekushinda unataka insha na mimi babako? Kama insha unaziweza na hicho kiingereza leo ungeteseka na cheti cha form fouf?
 
Hanna kesi hapa, hili nalo litapita tunasubiri muvi nyingine, ngoja nikae pembeni nicheki hii muvi steringi anakufa kwenye maua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sterling kang'atwa na nyuki kafa
 
Yaani baada ya kuambiwa kua hapa kesi hakuna akaona na bora ni tambae tu
 
Back
Top Bottom