Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,910
- 2,712
Ila kina Lissu nao wana maswalii duuu
Lissu:Umesoma
Shahidi:Ndio
Lissu: Una uelewa wa kidogo wa mambo ya sheria?
Shahidi: Mi hayo mambo ya sheria za mahakamani sijui,maana nilisoma Physics
Lissu: Hata Newton's Law of Motion si sheria pia?Nayo huijui!?
Shahidi: Najua...Zipo kama tatu
Lissu :Ok ok...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey
the law of gravity unless u shake it
well!!
Shahidi:Mimi hiyo sikuisoma
Lissu:Sasa kitu ulichosema unakifahamu,sasa unasema hujui,sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo hapa unaweza kuwa unaongea kitu usichokijua?
Shahidi:Sijui
Lissu:Umesoma
Shahidi:Ndio
Lissu: Una uelewa wa kidogo wa mambo ya sheria?
Shahidi: Mi hayo mambo ya sheria za mahakamani sijui,maana nilisoma Physics
Lissu: Hata Newton's Law of Motion si sheria pia?Nayo huijui!?
Shahidi: Najua...Zipo kama tatu
Lissu :Ok ok...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey
the law of gravity unless u shake it
well!!
Shahidi:Mimi hiyo sikuisoma
Lissu:Sasa kitu ulichosema unakifahamu,sasa unasema hujui,sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo hapa unaweza kuwa unaongea kitu usichokijua?
Shahidi:Sijui