Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Aendeleee kukimbia sasa anataka kuweka traffic polisi 1000 kila km 10.....ataweza wapi? Apambane na majambazi sio magari ya wananchi yasiyo na hatia!! Kero yetu haijawahi kuwa makosa ya traffic alete mikakati kupunguza foleni sio kuongeza traffic kutafuta makosa ya kipuuzi! Labda aje aseme sasa nchi haina vyanzo vya mapato ila zaidi ni magari yenu hapo sawa!! Kabla yote aseme form 4 alisoma wapi na alipata nini kwa jina gani na leo anatumia jina lile lile????? Akijisafisha hapo tuendeleee
 
Kama alizoea kuwaita watu central nadhani itakuwa busara kwa Mkuu wa Mkoa kuwa mstari wa mbele kuendeleza mapambano yake mahakamani kuuonyesha umma kuwa analolisimamia ni lakweli na lipo kisheria. Pia aende bungeni aitikie wito kama wale aliowataja walivyoitikia wito.
 
Oops! Tundu Lissu anatoa darasa la sheria mchana kweupe huku kesi ikiendelea. Hii ni dalili tosha ya kiuweledi kuwa hata nikiwapa "hints" mapema hawa wa upande wa mashitaka bado hawana uwezo wa kitaaluma kuwa na counter attack. Kudos mheshimiwa wakili msomi na aliyeelimika Mheshimiwa Lissu.
 
Huwezi kujivunia kushinda kesi kwa kutumia 'teknikalitizi' za kimahakama. Jivunie kesi kwa kumtetea mdai ama mdaiwa kulingana na hali halisi ya tukio zima. Usitumie mbinu ovu kuvuruga haki ya mdai. Stivu, kadhibitisha anavuta...wameenda usiku wamekuta 'msuba' wewe unasema ameonewa....!!! ndiyo maana mukulu kulu anataka nanyi mfungwe nao hao wahalifu!
 
wewe ndugu yangu endelea kupambana na hali yako tu mambo ya sheria waachie wakina lisu
Lissu ndio nani? wewe binafsi unajua nini kuhusu sheria !!!au kila uongo anaousema unaamini? Criminal procedure act , Tanzania police and auxiliary service act, pamoja na police general order umesoma vifungu vyote vinavyohusu upekuzi au unamwamini tuu huyo jamaa na mauongo yake?
 
Huwezi kujivunia kushinda kesi kwa kutumia 'teknikalitizi' za kimahakama. Jivunie kesi kwa kumtetea mdai ama mdaiwa kulingana na hali halisi ya tukio zima. Usitumie mbinu ovu kuvuruga haki ya mdai. Stivu, kadhibitisha anavuta...wameenda usiku wamekuta 'msuba' wewe unasema ameonewa....!!! ndiyo maana mukulu kulu anataka nanyi mfungwe nao hao wahalifu!
Issue ni kushinda kesi period.
 
Back
Top Bottom