Mama yangu ana nyumba nyingi = Mimi nina nyumba nyingiAli Kiba amejipanga vilivyo kupambana na akina dada wajasiliamali wa mapenzi. Wanaopenda kuchuma vya ubwete kupitia mapenzi uchwara.
View attachment 2767938
View attachment 2767940
Acheni uwoga. Muwe mnajiamini. Mwanaume umejenga nyumba mwenyewe halafu unashindwa kujipiga kifua kusema ni zako?? Uzembe huu!Binafsi maza maza angu ana nyumba nyingi namimi naishi kwake hadi Leo
Itakuwa itakavyokuwa.Mama akifa inakuaje hapo
Usipo jipiga "kifua "Nini kinapungua?Acheni uwoga. Muwe mnajiamini. Mwanaume umejenga nyumba mwenyewe halafu unashindwa kujipiga kifua kusema ni zako?? Uzembe huu!
Wanapgopa talaka .....ana mtoto kimombasa ....wajanja wakenya wewe wasikie tuuuAcheni uwoga. Muwe mnajiamini. Mwanaume umejenga nyumba mwenyewe halafu unashindwa kujipiga kifua kusema ni zako?? Uzembe huu!
Mwanaume usipojipiga kifua inakuwa kama binti tuUsipo jipiga "kifua "Nini kinapungua?
Mtego huu, hatukubali acha tuendelee kuwa wazembe tuAcheni uwoga. Muwe mnajiamini. Mwanaume umejenga nyumba mwenyewe halafu unashindwa kujipiga kifua kusema ni zako?? Uzembe huu!
Wawe wazazi wanaojielewa .Mbona wapo wengi,
Ray kigos
TID
Ni kweli hakuna raha kama kuishi na wazazi,naenjoy.
DuuWawe wazazi wanaojielewa .
Wazazi wengine akili zao Mungu tu awasaidie maana hawashindwi kukupiga chabo ukiwa unandinya huko kunako sita kwa sita .
Naongelea exprience tafadhari
Nasikia mchezaji Ebue amekuwa fukara kwasabb aliandika mali zote jina la mamake halafu wajomba wakazigawana bila kuacha hata senti. Ebue hivi Sasa anaokota makopoWawe wazazi wanaojielewa .
Wazazi wengine akili zao Mungu tu awasaidie maana hawashindwi kukupiga chabo ukiwa unandinya huko kunako sita kwa sita .
Naongelea exprience tafadhari
Hao uliwataja walishindwa kutumia nyakati zao za mafanikio kujijenga kiuchumi kwa upande wa kiba nyumba amejenga ila anaandika jina la mama ake kuwakwepa hawa gold diggers wa mjini wanaoangalia loopholes zilizopo kwenye sheria ya ndoa na mahusiano waweze kujinufaishaMbona wapo wengi,
Ray kigos
TID
Ni kweli hakuna raha kama kuishi na wazazi,naenjoy.
Sio kweli. Aliandika jina la mkewe ambae baadae alichukua kila kitu nankumuacha eboue akiwa broke lakini aliajiriwa na arsenal kwa sasa eboue ni muajiriwa wa arsenal na anaishi vizuri tu wala haokoti makopoNasikia mchezaji Ebue amekuwa fukara kwasabb aliandika mali zote jina la mamake halafu wajomba wakazigawana bila kuacha hata senti. Ebue hivi Sasa anaokota makopo
Nyumba zinakuwa urithi wa watoto!!Mama akifa inakuaje hapo