Ali Kiba - Mwana Dar es Salaam (video)

Ali Kiba - Mwana Dar es Salaam (video)

Eti video haitavuka boda maana haieleweki?? Cabo Snoop alikuja bongo na nyimbo ambazo hamuelewi kaimba nini, video zenyewe hazieleweki mara kakata mauno kidogo beat inazimwa anapiga story weee then beat inaachiwa, Cabo Snoop anaendelea kukata mauno ila mwisho wa siku mlijazana ukumbini kwenda kumuangalia japo hamumuelewi.
Oyaa Kiba endelea kufanya yako, achana na hawa haterz.
 
Hongera Ally kiba haya mambo ndio tunayotakaaa muwe wengi Sio Daimond tu, ,video nzuri, pamba umepiga freshi
 
Kwa kiba nae mjua mimi ase kajitahidi sana,
siko upande wake lakini ki ukweli anahitaji kuto kuvunjwa Moyo, next time anaweza fanya poa zaidi
 
Ni ujinga kudhani kila video ni lazima iwe na matukio ya maigizo. Ni video bora sana kwa Picha na mpangilio wa matukio.
Isitoshe hata Kiba mwenyewe ametenda haki kwenye camera, dancing ya ukweli na ametawala video vizuri.
Ova
 
Ni ujinga kudhani kila video ni lazima iwe na matukio ya maigizo. Ni video bora sana kwa Picha na mpangilio wa matukio.
Isitoshe hata Kiba mwenyewe ametenda haki kwenye camera, dancing ya ukweli na ametawala video vizuri.
Ova

Unaongea Kiushabiki.. Nyimbo ya Alikiba imekaa kimafundisho zaidi kuliko burudani... Kwa Msikilizaji atacheza Mdundo, ila Maneno au Mistar ya kiba imekaa kimafundisho, sasa unajua nn kinatokea????

Wakat unausikiliza Huo wimbo kwenye Radio, kichwan unajaribu kuyatizama kwa Mawazo na Picha aina ya Maisha huyo anaeimbwa alikuwa nayo... Kisha unaendelea kulingana na Ujumbe wenyewe...

Kiba kachemsha, japo Mpangilio wa Pucha, Quality na hata uchanganyaj wa picha Uko safi sana.

Mi nilitegemea kuona maigizo kidogo, kama aliweza kuigiza anaingia na kukuta wadada wana rehestle dance, basi na angeweka maigizo ya huyo anaemzungumzia.

Yaani. Video ni ya kawaida. You wunt watch it twice... Na if you do, basi utapeleka peleka mbele. Sekunde kumi, ushaitizama yooote.
 
Eti video haitavuka boda maana haieleweki?? Cabo Snoop alikuja bongo na nyimbo ambazo hamuelewi kaimba nini, video zenyewe hazieleweki mara kakata mauno kidogo beat inazimwa anapiga story weee then beat inaachiwa, Cabo Snoop anaendelea kukata mauno ila mwisho wa siku mlijazana ukumbini kwenda kumuangalia japo hamumuelewi.
Oyaa Kiba endelea kufanya yako, achana na hawa haterz.

Unajua, hapa ww ndio hater.

Ile video kiba kachemsha kutokuweka maigizo, trust me. Yaan video ya kara jeremiah mpya ni nzuri kuitizama kuliko ya kiba.
 
1. quality - nzuri sana
2.theme - nzuri but nahisi imeenda nje ya mategemeo ya wengi
3.location - kitanzania hajatutendea haki course labda kwa sababu tunaelewa wimbo so tulitegemea kidarisalama zaid nwei international wise its oky
4. dancing - amejitahid sana especialy new style ya kucheza
ovarall from where he came from (video wise) ameimprove sana
all in all team kiba n diamond we need to have more videos kwa ajili ya ku compete kwa na wenzetu zaidi na tuache kubishana kibongo bongo!

Mkuu, Angeimba SA halafu yaunganishwe matukio ya mwana akiwa Dar es salaam... Yeye angekuwa ana hadithia tuu, halafu pale inapochanganya, kinaonyeshwa kipande cha yy na hao alokuwa anawasimulia wanacheza...

Yaan pale inapoanza hii video nikawa sielewi, au ndi yale mambo ya am talking to the Man on the Mirror??????

Kazingua. Tuwe wakweli, kama kweli tunampenda.
 
mi ni fan wake ila nimeshangaa sana
sijui Godfather hawakumuambia nyimbo inahusu nini?
alipokuwa anatembea angalau angekuwa kama anaangalia labda mtoto nje ya geti anagombana na wazazi kisha anaondoka
then scene nyingine yuko anakula drugs huku kiba anamsikitikia akiendelea kuimba
video ilihitaji ka story, iko flat mno
 
Unaongea Kiushabiki.. Nyimbo ya Alikiba imekaa kimafundisho zaidi kuliko burudani... Kwa Msikilizaji atacheza Mdundo, ila Maneno au Mistar ya kiba imekaa kimafundisho, sasa unajua nn kinatokea????

Wakat unausikiliza Huo wimbo kwenye Radio, kichwan unajaribu kuyatizama kwa Mawazo na Picha aina ya Maisha huyo anaeimbwa alikuwa nayo... Kisha unaendelea kulingana na Ujumbe wenyewe...

Kiba kachemsha, japo Mpangilio wa Pucha, Quality na hata uchanganyaj wa picha Uko safi sana.

Mi nilitegemea kuona maigizo kidogo, kama aliweza kuigiza anaingia na kukuta wadada wana rehestle dance, basi na angeweka maigizo ya huyo anaemzungumzia.

Yaani. Video ni ya kawaida. You wunt watch it twice... Na if you do, basi utapeleka peleka mbele. Sekunde kumi, ushaitizama yooote.

Hivi wewe unazijua types of music videos? Unajua kama kuna Performance music videos, Narrative music videos na Conceptual music videos? Video ni taaluma jamani msiongee tu kwa kuwa ipo JF inayokupa nafasi ya kuongea.
Kilichofanyika kwenye video ya Mwana ni kitu kilicho kwenye taaluma kabisa, na ndivyo inavyokuwa Narrative music videos na imetendewa haki kama ambavyo imekuwa.
Producer haamui tu kuweka wimbo fulani kwenye video ya aina fulani, ila kutokana na urefu kisa chenyewe pamoja na mambo mengine ya kitaaluma. Kwa unavyofikiri kisa cha wazo la wimbo wa Mwana kinaweza kufanyiwa video na kutosha kwa dakika nne?
Nadhani Bob Marley angekuwa Mtanzania naye ungemshambulia kwa kufanya video ya wimbo No Woman No cry kwa aina ya Performance Music Videos, kwa sababu tu ni kwamba kuna mafunzo.
Unapaswa kuelewa kwamba hakuna wimbo usio na mafunzo duniani, ila kuna wimbo wa mafunzo mabaya na mafunzo mema.
Ova
 
mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
dislike
uwa siuelewiii wimbo unamaana gani, afu kuna mapungaa fulani humu jf wanajiita team alikibaaa

mahaba niuwe ni noma sana hadi hupelekea kumpiga au kutukana watu..
 
Mi naona wasanii kupambana inawasaidia!! watapambana weee mwisho wa siku wanajikuta wamefika mbali, soko la international wanatambulika, kama ni utoto watauacha mbeleni... Mziki unawalipa watu wengi sana siku hizi pesa nzuri tu bora unatupunguzia vijana wasio na kazi
 
Kiukweli kabisa ipo hivi:
Kulingana na wimbo (audio) ilivyo watu wengi walishaweka vichwani mwao jinsi video itavyofanania hadi vipange vitakavyokua ndio maana watu wanaona kama video ni mbaya lakini hii video sio mbaya video nzuri sana tatizo matukio ya vipande vya video hiyo vimekua nje na mind za watu walivyojijengea kulingana na audio yake.
Mfano mimi nilitegemea hiyo video vipande vyake au kwa ujumla kidogo ingefanana na jinsi ile nyimbo ya MAKUMUGA.
Ila big up vijana wetu international hiyo video inaeleweka vizuri tu wala haisumbui
 
mi ni fan wake ila nimeshangaa sana
sijui Godfather hawakumuambia nyimbo inahusu nini?
alipokuwa anatembea angalau angekuwa kama anaangalia labda mtoto nje ya geti anagombana na wazazi kisha anaondoka
then scene nyingine yuko anakula drugs huku kiba anamsikitikia akiendelea kuimba
video ilihitaji ka story, iko flat mno

Hakuna video producer anayetengeza video bila kuelezwa maana ya wimbo. Kuna tatizo la kuamini kwamba kila music video lazima yawepo maigizo ya kilichoimbwa, hii ni dhana potofu.
Kuna nyimbo nyingi mbona hazina maigizo? Kwani Number 1 Remix ya Nassib na Davido si watu wamedance tu mwanzo mwisho? Personally au Alingo za P Square si wamedance tu? Au New Flame ya Chris Brown na Usher Raymond na Ricky Ross kuna maigizo mle ndani?
Ni kawaida Narrative Music Videos huwa hazina maigizo jamani.
Ova
 
Kiukweli kabisa ipo hivi:
Kulingana na wimbo (audio) ilivyo watu wengi walishaweka vichwani mwao jinsi video itavyofanania hadi vipange vitakavyokua ndio maana watu wanaona kama video ni mbaya lakini hii video sio mbaya video nzuri sana tatizo matukio ya vipande vya video hiyo vimekua nje na mind za watu walivyojijengea kulingana na audio yake.
Mfano mimi nilitegemea hiyo video vipande vyake au kwa ujumla kidogo ingefanana na jinsi ile nyimbo ya MAKUMUGA.
Ila big up vijana wetu international hiyo video inaeleweka vizuri tu wala haisumbui

Wewe ndio umenifumbua macho sasa, hili linaweza kuwa tatizo la wengi, nashangaa watu wanaoikataa video nzuri kama ile, haina kabisa matukio ya kuboa.
Ukiwa msanii ni lazima usikae mahali ambako wengi walitegemea, ulete fikra tofauti na waliokuwa walitegemea mashabiki wako.
Ova
 
Katoa maana ya darisalam sio dar ila ni mji mkubwa wowote labda asingetumia jina darisalam angesema mwana wa mjinini nadhani mgeona video imeenda sawa ila kuna vitu vimemiss jumejitahidi dogo mwanzo mgumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom