Ali Kiba - Mwana Dar es Salaam (video)

Ali Kiba - Mwana Dar es Salaam (video)

Hahaha sasa management imempa mpaka video kubwa kashindwa mwenyewe ulitaka wamfanyeje! Hii management aliyonayo akisema nayo haifai sijui atafaa nani.

Hapa hakuna ingekuwa nzur video icngekuwa tofaut ivo u clearly huo co wa management baba apo ni utaalamu tu wa mashooter ila maelekezo yote hutoka kwao so hawakumsaidia apo baba
 
Nan kakwambia anaimba kwa ajil ya dangote?? Mbona wa tz tuna akil nzitoo hvyo? Au na wew ulitaka kuanzisha thread tu?? HAYA HONGERA KWA KUANZISHA###
 
sophial huo ni mtizamo wangu si lazima uukubali. Ila kama nawe unaona gere kuanzisha sredi na wewe anzisha ya kwako!
 
Last edited by a moderator:
Ila tambua mimi nilichokifanya ni benchmarking, sasa sijui ulitaka nimlinganishe na msanii gani hapa bongo?
 
bonge la video alikiba,😛eace:😛eace:
 
Amependeza sana, Amecheza vizuri pia, lakini there's something wrong somewhere.
 
Mmmmmh!!!!Hii hujuma na GodFadher anahusika aisee...lakini bajeti nayo inaweza kuwa tatizo...nadhani next time utafika unapopataka.....sio mbaya sana ila Video ya Diamond dah bado ipo juu na bajeti yake ilikuwa kubwa sana.
 
watu walitengeneza video zao kichwani halafu imekuja ndivyo sivyo huu unaitwa ubunifu
so unique watu walitaka wamuone huyo mwana alivyokuja hadi alivyobadilika wakamkosa
i like it

Mkuu nilipenda mwana angeonekana naamnini ingekuwa poa zaidi..
 
Tatzo hapa watu mnatoa comment kwa kufnya comparison ni lazma tu ktakuwa na biases.
Video ni nzuri smehow bt watu walitaka maigzo na kufwata kila kilichopo kwenye script

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naangalia clouds tv kwa kweli hii video imepwaya kabisa, jamaa ajipange sana kumfikia DANGOTE.

Huu ndio upuuz nisioupenda..
Kila kitu sasa mnafanya reference kwa Dangote!!!? Jinga wewe
 
1. quality - nzuri sana
2.theme - nzuri but nahisi imeenda nje ya mategemeo ya wengi
3.location - kitanzania hajatutendea haki course labda kwa sababu tunaelewa wimbo so tulitegemea kidarisalama zaid nwei international wise its oky
4. dancing - amejitahid sana especialy new style ya kucheza
ovarall from where he came from (video wise) ameimprove sana
all in all team kiba n diamond we need to have more videos kwa ajili ya ku compete kwa na wenzetu zaidi na tuache kubishana kibongo bongo!
 
dabluz wee ndo mjinga coz ulitaka nimlinganishe na nani hapa bongo, mzee yusuph? Ukweli utabaki palepale tu, VIDEO ni mbovu full stop!
 
Last edited by a moderator:
Video ni nzuri sana. Kama mtu hajui kiswahili, anacheza huo wimbo na mambo yanaenda mbona.
 
dabluz wee ndo mjinga coz ulitaka nimlinganishe na nani hapa bongo, mzee yusuph? Ukweli utabaki palepale tu, VIDEO ni mbovu full stop!

Kosoa kutokana na mapungufu ulioyaona na sio Dangote hapa..
Unaweza sema mfano
Location,quality,au dancers au pamba alizopiga vyovyote vile lakini sio kumuingiza Dangote..
Shame shame..agrrrrr
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom