barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Huu wimbo una video mbili au nimeufananisha?
Ni video moja tu, Acha kukariri.
Huu wimbo una video mbili au nimeufananisha?
Kuna mstaarabu mmoja kashanijibu vizuri nikaelewa na kumshukuru sasa wewe sijui umetoka wapi na maneno yako ya kishamba!Wapi nimekariri?Ni video moja tu, Acha kukariri.
Kuna mstaarabu mmoja kashanijibu vizuri nikaelewa na kumshukuru sasa wewe sijui umetoka wapi na maneno yako ya kishamba!Wapi nimekariri?
Okey, samahani! Nilidhani na wewe ni mmoja wa watu ambao walishatengeneza video kichwani, yaani kukariri lazima kuwe na maigizo. Samahani kwa kukuelewa vibaya. Nimeona huyo mdau alivyokuelezea, yaonyesha ni kweli nilikuelewa vibaya. Pamoja!
Unajua, hapa ww ndio hater.
Ile video kiba kachemsha kutokuweka maigizo, trust me. Yaan video ya kara jeremiah mpya ni nzuri kuitizama kuliko ya kiba.
Ni ujinga kudhani kila video ni lazima iwe na matukio ya maigizo. Ni video bora sana kwa Picha na mpangilio wa matukio.
Isitoshe hata Kiba mwenyewe ametenda haki kwenye camera, dancing ya ukweli na ametawala video vizuri.
Ova
Tatizo bongo wamekariri ndio maama wanaponda. Wangeponda nyimbo ya adele someone like you. Video nzima anatembea tu.
Au Uswahili Matola na wimbo wao Tatizo La Marehemu.