Huwezi Linganisha Video za Chris na Kib wala ufanyaji wao wa Video kumbuka Chris brown yule ni Msanii International tofauti na Kiba ambae bado hajatoka nje ya mipaka! Juhudi anazo takiwa kuzifanya Chris Brown na wasanii wa aina yake ni tofauti na Juhudi atazo kuwa anazifanya Kiba....Mfano chris anaweza fanya video akiwa kitandani tuu na watu wakaipenda na kuuza sana lakini sio kiba akafanya Video kitandani!VIDEO YA AIYOLA IMEFANYWA NA GOODFATHER, SOUTH AFRICA
VIDEO YA LUPELA IMEFANYWA MAREKANI NA MADAIREKTA WAKUBWA TENA
HEBU CHEKI VIDEO KAMA YA CHRIS BROWN DONT JUDGE ME, CHECK VIDEO KAMA YA CHRIS BROWN DEUCE, CHECK VIDEO YA NELLY JUST A DREAM, N.K
GIVE IT A TIME.
WAKATI WEWE UNATANGAZA KUMDHARAU MTU, JIULIZE MKUU YEYE ANAKUTHAMINI?
NASHAURI USISEME UNAMDHARAU TU, KABLA YA KUSEMA HIVYO UNGEWAHI KUANDIKA HAPA KWAMBA BWANA ADAM BADILIKA KTK UTAYARISHAJI WA VIDEO ZAKO KWA KUFANYA MOJA MBILI TATU INGEKUWA POA.
LINGINE, TUSILALAMIKE VIDEO MBAYA, TOA MAONI YAKO, VIDEO IMEKOSEWA WAPI???? ILI NEXT TIME AJIFUNZE KAMA KUNA KOSA...
MTVBASE WAMEPOSTI VIDEO INSTAGRAM JANA HALAFU NYIE MNALALAMIKA,
MSHAURI MWENZIO ABADILIKE KAMA ANAKOSEA...
BUT TO ME, HIYO NYIMBO IMETULIA NA VIDEO NI BABU KUBWA......
WATZ MUMEZOEA KUONA GHOROFA, MAJI, MELI, BEACH.....KUNA SIKU MTU ATAFANYA VIDEO PORINI MTAIDISI...
SANAA KAMA TAWI LA FASIHI HUBURUDISHA, HUELIMISHA N.K
Huyu mkosoaji hajui kitu..baada ya maelezo yake nimeitafuta hiyo video..ile ndio namna ilivyoandaliwa na haikukosewa imeamuliwa iwe tofauti..kikubwa ukosoaji wake umefanya watu waitafute na bila kujua ameipa promo ya bure.
dah! Nifah umeiona hii comment dadaake, watu wapo vizuri si mchezo
Na pia anatakiwa ajue style za underground.
Underground hawezi kutoa video kama ya Lupela coz wengi wao wanaimba sare sare na video pia wanatoa sare sare.
Ningemuelewa zaidi endapo angetoa tu maoni yake kuwa ye anaiona ni mbaya kwa mtazamo wake. Baasi!!
nendeni youtube mkamuongezee kaka yenu idadi ya watu walioitazama LUPELA...Eti kamdharau AJ kisa kasema ile ni video nzuri hahahaaa binadamu sie tuna matatizo yetu aisee!
Mi nadhani siku nyingine mtoa mada aje akawe director tuone makali yake!
wewe ndo unajifanya haujanielewa...Usikimbilia kucomment vitu bila kusoma..
Ebu soma hicho nilichoandika tena then uje kujibu sawa na nilichoandika..
Hivi kwanini kila Ali Kiba anapotoa kitu kipya kinapondwa na kusifiwa cha zamani ambacho hapo mwanzo nacho kilipondwa?Nimesoma Comments za Watu wengi hapa lakini Nimeona wengi wapo kishabiki! katika Post yangu nimeainisha baadhi ya vitu vilivyo fanya hio video iwe mbaya.....Na sijajua ni gerage katolea au Wapi?
Watu wengi wanaiga kusema bila kujua walisemalo!
Kama unasema kuwa Ali Kiba katika video hii ya Lupela kaonesha Ubunifu wa hali ya juu kuliko video zake zingine baasi tuelewesheni sisi Tusio elewa kwa kutuonesha ubunifu alio ufanya ambao unafanya video ya Lupela kuwa nzuri Kuliko Ile ya Mwana!
mimi naweza kuwa napinga kwa kusema kuwa video mbaya lakini akitokea mtu akanielekeza na kunipa mifano kutoka kwenye Video ya Lupela na kusema hapa kuna ubunifu huu hapa na huu hapa ambao unafanya hii video iwe nzuri mimi nitaelewa!
Both of them....who should be point fingered, Ali kiba or video director?