ukweli mtupu! ngoja kina lukelo sakafu a.k.a k 4 real waje kutoka mapovu hapa
Na hao ndio wanao wanaompotosha ,hawataki kumwimbia ukweli kuwa aongeze ubunifu.
Soko la sasa hata kama wimbo uwe mzuri kiasi gani video yake ndio inauza.
Kosea Kate lakini sio kwa video.
Mwanaume mzima una chuki mbaya na mwanaume mwenzako kuliko shetani. Kwa ulichoandika we we hata in real life huna ptogress UA possesed with envy, jealous utajakufa mdomo wazi, utafikiri kiba alikuibia hovyo sana jianaume zima utakua na chembe za uhanisi
Mkuu video lazima iwe na vipande ambavyo vitakufanya ushike remote mkononi, sasa video ipo kama masanii yupo jukwaani.... tatizo ni nini? background (i.e., hao tembo & mandhari ya pori)?
Acha chuki kwani lazima uangalie wimbo wa kibaMkuu vieo lazima iwe na vipande ambavyo vitakufanya ushike remote mkononi, sasa video ipo kama masanii yupo jukwaani.
Labda niambie wewe ukali wa ile video uko wapi. ?
Ka we we unaye washwa na kuongozwa na chuki.Te! Te! Te! Umepaniki. ?
We we watoa mvuke huko back benja. Hizi topic za kijinga lazima zikomeshweMmmh hili povu lote vepeee....
Huwezi kunipangia nimwalie nani nimwache nani.Acha chuki kwani lazima uangalie wimbo wa kiba
Eti wakutana naye sokoni. Punguza chuki sokoni labda unakojiuzagaHuwezi kunipangia nimwalie nani nimwache nani.
Mimi alikiba nakutana nae sokoni wewe unakutana nae kitandani hivyo huwezi kunielewa kamwe.
Wakitaka Kiba afanye vizuri wasimlinganishe na Diamond maana anaonekana kituko. !video yenyewe giza giza tu,ali kiba Bwana,Diamond ni wa kimataifa huyo huwezi mlinganisha na alikiba,alikiba mlinganishe na kina linex
Jeshi la mtu 1Ka we we unaye washwa na kuongozwa na chuki.