Ali Kiba - Lupela

Ali Kiba - Lupela

Humu ndani kuna mwenye namba ya Saigon-presenter na mwana HipHop. Mnakalia kubishana tu. Ngoja mm reggae na hip hop follower niamue ugomvi. Ni hv, mm si mpenzi wa hiyo miziki ya akina Kiba na Diamond. Lakn, Diamond ni mjanja ktk mambo ya marketing kumzidi huyo mwingine Ali Kiba. Ali Kiba mtunzi mzuri, na ana sauti adhimu, mathalani nimemuona mara moja SAUTI ZA BUSARA. Nikajua wapo mizani sawa na Diamond wenu, kumbe mwenzie mjanja zaidi ktk masoko n.k.
 
Nawatupia lawama wote mnaomfananisha Kiba na Diamond. Mnampa jukumu kubwa kuzidi uwezo wake. Koffi Olomide mwenyewe alisema anatamani siku moja afanye ngoma na Diamond sasa huyo Kiba mngemwacha kwenye level yake. Watanzania kuweni wazalendo kwa kuacha uonevu dhidi ya Kiba. Mtoto wa Tandale yuko level ya peke yake kwa sasa
Na mm nmesema achen kunfananisha chibu na mambo ya kisenge
 
Uwepo wa Diamond ndio unampandisha chati AK. Watu wakilazimisha mshindani wa Diamond. AK hawezi kuwa mshindani wa DP.
 
Kwa hivyo;thriller ya Michael Jackson haikupaishwa na video???
Mie kipindi hicho nilikuwa tv naiona kwa majirani. Usiseme kuutazama wimbo wa Thriller. Hata huyo MJ nilimuona magazetini. Ngoma kama hizo tuliziimba disco na hakukuwa na video eti Nitaiangalia. Furthermore sina tyme ya kuangalia video nikiwa job, yangu ni kuweka audio nikiwa kazini ama ndani ya gari, na earphones za beat by Dre nikitembea.
 
Mie kipindi hicho nilikuwa tv naiona kwa majirani. Usiseme kuutazama wimbo wa Thriller. Hata huyo MJ nilimuona magazetini. Ngoma kama hizo tuliziimba disco na hakukuwa na video eti Nitaiangalia. Furthermore sina tyme ya kuangalia video nikiwa job, yangu ni kuweka audio nikiwa kazini ama ndani ya gari, na earphones za beat by Dre nikitembea.
wote tv tulikuwa tunatazama kwa jirani-hiyo thriller,impact ya video yake mpaka leo inajadiliwa Oxford Uni-it was a milestone in the history of music
 
wote tv tulikuwa tunatazama kwa jirani-hiyo thriller,impact ya video yake mpaka leo inajadiliwa Oxford Uni-it was a milestone in the history of music
Yeah, but kuna nyimbo nyingi zimehit hata kabla ya video yake kutolewa! Ciderella ya Ali K 4 example!
 
Yeah, but kuna nyimbo nyingi zimehit hata kabla ya video yake kutolewa! Ciderella ya Ali K 4 example!
hapa hatuelewani,Cindrella ilikuwa for local consumption,local market eg East Africa- Dai anajaribu kwenda beyond hence sasa hivi akiachia kitu he does not have you in mind anajaribu kucheza na mindset za akina Madiba-vitu vinavyokufaa wewe kama mbagala ilikuwa ni vya kutokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom