Ali Kiba - Lupela

Ali Kiba - Lupela

Video haina scene mbali mbali yaani mi dada hyo hyo mwanzo mwisho, minlifikir anaonyesha movie jukwaan kumbe video..hapa na mm kanichosha
 
Namkubali Alikiba ni mtunzi mzuri ni mwimbaji mzuri na ana sauti nzuri sana, ila video zake mara nyingi haziendani na anachoimba.

Ukiangalia hii video yake haileti hamasa ya kuendelea kuiangalia, haivutii na haina udadisi.

Labda kama lengo la video ni kutetea Tembo, lakini kama ni ya kushindana na Diamond ni sawa baiskeli dhidi ya piki piki.



8f531b79d056fc9bfdf9351491317dbe.jpg



Ukisikia kuishiwa kimuziki ndiyo huku, yaani jamaa anasikitisha ile mbaya.
 
Video haina scene mbali mbali yaani mi dada hyo hyo mwanzo mwisho, minlifikir anaonyesha movie jukwaan kumbe video..hapa na mm kanichosha

Na nguo ni zile zile mwanzo mwisho. !
 
Ushabiki wa Simba na Yanga umeimaliza nchi hii,kwenye siasa watu wanaingiza usimba na yanga ,kwenye burudani vivyo hivyo ili mradi mambo shaghalabaghala.Hakuna mabishano ya mantiki kwa walio wengi wa kizazi hiki ni unyumbu tu.Saa nyingine unajikalia pembeni uangalie uwezo wa watu ambao hawataki kupanua bongo zao kisa wanachojua ni hiki na hawataki kujua kile.
 
Eti huyu nae kaongea jamani!Huu uhuru wa kutoa maoni unatufanya tuwe wendawazimu.
Sijaona chochote cha maana katika post yako hii zaidi ya chuki 'A One'.
Adam Juma kaipa sifa zake kitaalamu wewe unaleta story zako za ujuzi wa mitaani....WTF?

WTF mwenyewe...hahahah
 
#sallam_sk
huyu manager wa diamond ana vurugu sana...
ona alichokiandika sasa..!
 

Attachments

  • 1455102745109.jpg
    1455102745109.jpg
    53.4 KB · Views: 68
KTMA naziona nyingi tu zikielekea tena kwa ally kiba nyie mpondeni na mwaka huu hata tuzo za nnje kwa domond sizioni kwa nyimbo gani hasaa labda Yeye na zari wajipigie kura
 
Mkuu mi nahisi Diamond atakuwa amefanya figisufigisu video itoke mbaya au unasemaje? Kwasababu kuna watu wanatumia pesa nyingi sana ili King azidi kuwa nyuma kama vitobo vya mkasi...
Aaaaaah kazi kweli kweli
 
Namkubali Alikiba ni mtunzi mzuri ni mwimbaji mzuri na ana sauti nzuri sana, ila video zake mara nyingi haziendani na anachoimba.

Ukiangalia hii video yake haileti hamasa ya kuendelea kuiangalia, haivutii na haina udadisi.

Labda kama lengo la video ni kutetea Tembo, lakini kama ni ya kushindana na Diamond ni sawa baiskeli dhidi ya piki piki.



8f531b79d056fc9bfdf9351491317dbe.jpg

Kwani hiyo video inatofauti gani na ile ya diamond ya nana
 

Sikiliza hiyo hapo nyingine inaitwa 'Nagharamia'... Naona kazidiwa nguvu mpaka imebidi amombe msaada kwa Christian Bella...
 
KTMA naziona nyingi tu zikielekea tena kwa ally kiba nyie mpondeni na mwaka huu hata tuzo za nnje kwa domond sizioni kwa nyimbo gani hasaa labda Yeye na zari wajipigie kura
kwani huu ni mwaka gani jirani yangu..!?
kama ni mwaka 2016 hadi mwezi wa kwanza unaisha mr D3 alishachukua TUZO zaidi ya tano...
labda kama uko sayari ya mars ndo maana hauna HABARI..!
 
Kiba bhana sijui karogwa na nan,,hapo anaona ni Bonge la video haina hata quality,,kwenye ukwel tuseme bhana angalie vizur madarecta wake
 
Kiba bhana sijui karogwa na nan,,hapo anaona ni Bonge la video haina hata quality,,kwenye ukwel tuseme bhana angalie vizur madarecta wake
Aisee huu ubunifu wake mi naupenda sana sio kufuata mikumbo tu hakuna ulazima wa vidio kufanana na unachoimba good sana ally kiba kwa ubunifu wa kipekee ndio maana tunakuita king wa muziki bongo hakuna kama wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom