wimbo upo vizuri sana na video iko poa,,sema hamjajua kutofautisha nyimbo anazoimba diamond na style ya Ally Kiba,,,style zao ni tofauti. After all hii nyimbo imetolewa maalimu kwa ajili ya wanyama ndiomaana ata background inaonesha kama wako mbugani.
note: video ya msanii ikiwa mbaya laumu director not msaniii
note: video ya msanii ikiwa mbaya laumu director not msaniii