Acheni mchezo na kazi za watu angalia KWA HELA YA LINEX
Asa kwanini mnapoteza sana muda kumjadili???...tunaweza kuanzia hapo mjadala wetu.Kiba is fake, si mwanamuziki ni muimbai tu wa karaoke bar.
Video nzuri sana tu, mimi binafsi nimeipenda...
Ukiona mwanaume kazi yako kubwa kusubiri mwanaume mwenzako afanye kazi then wewe ukae kijiweni ukosoe ujue una matatizo makubwa sana... Ali Kiba kuweka kipande kinachoonyesha Tembo kwenye Video yake imekuwa kesi ila Dimondi alimweka Dr. Mwaka na wala hakuna aliyekosoa wala kusema chochote...
Ambao hamjaiona video hii hapa..
Here I am.....neifaaa kujaaa