playboy baabu
Member
- Feb 4, 2016
- 83
- 12
Yaah si mwanamuziki ndo maana hata project ya one8 wanamuziki wa Afrika walipoimba na king of RnB R.Kelly jamaa alifukuzwa then nafas yake akaimba mwanamuziki Daimond... Kweli sana aysee ahsante umenkumbusha kijana.Watu tulishasema hapa kitambo huyu kijana si mwanamuziki ila analazimisha tu...sasa ni upuuzi gani huu sasa?