Ali Kiba - Lupela

Ali Kiba - Lupela

Yaaan ni bora angeimba nymbo ya wanyaka kabsha tembo, chui, simba. Hata kama ni mbaya tungemuelwacoz angekua anawatetea wasiuliwe sasa hii nso nymbo gani hata haieleweki.
 
video yenyewe giza giza tu,ali kiba Bwana,Diamond ni wa kimataifa huyo huwezi mlinganisha na alikiba,alikiba mlinganishe na kina linex
Tengeneza yako uifanye utakavyo we ajuza au umkompe anaye kukaza
 
Fan wa muziki kiukweli hawezi kuamua uzuri wa nyimbo kwa kutizama video! Mie hata sihitaji kuona hiyo video ndio nitoe uamuzi. Ngoma nimeidownload na ni tamu saaaaana. LUPELA MBONA IKO SAWA!
wewe safi...
toa maoni yako...
mjibu mtu...
lakini usimtukane wala kumdhalilisha..!
 
ALI KIBA NI MWANAMUZIKI MWENYE UJUZI NA SAUTI ANAANGUSHWA NA VIDEO DIRECTOR WAKE.......YANI KILICHOPO KWENYE VIDEO NA TAFSIRI YA NYIMBO APO MI SINA NENO
 
Video nzuri sana tu, mimi binafsi nimeipenda...

Ukiona mwanaume kazi yako kubwa kusubiri mwanaume mwenzako afanye kazi then wewe ukae kijiweni ukosoe ujue una matatizo makubwa sana... Ali Kiba kuweka kipande kinachoonyesha Tembo kwenye Video yake imekuwa kesi ila Dimondi alimweka Dr. Mwaka na wala hakuna aliyekosoa wala kusema chochote...

Ambao hamjaiona video hii hapa..


kazi ya fasihi ni lazima ifanyiwe analysis...
kwahiyo kukosolewa ni kutimiza misingi ya uchambuzi wa kazi ya fasihi..!
 
I expected this.... ally kiba is always mediocre
 
wasaniii wetu walifuata sana hawa mashabiki uchwara wataishia hapahapa......alikiba alikuwa mtu wa kushindana na AY kipindi hicho alikiba sio wa leo kakaaa eti kushindana na diamond,hawezi hatomuweza kazoea kukaaa uswahili anaendesha mambo yako uswahili mwenzake anajenga uswahili na nje ya uswahilini.....nyie mashabiki wanafiki mwambieni ukweli hatoweza na hatokuja kuweza
 
kazi ya fasihi ni lazima ifanyiwe analysis...
kwahiyo kukosolewa ni kutimiza misingi ya uchambuzi wa kazi ya fasihi..!
Hilo sina shida nalo, ila kuonekana watu walewale ndio wanaokashifu kazi za Ali Kiba kila siku na kusifia za Diamond bila kukosoa chochote ndio kuna walakini... Au za Diamond huwa hazinaga kasoro kabisa??

Huu ubishi wa hizi pande mbili sana sana tuwaachie wadada... Mwanaume mzima kusubiri mwanamme mwenzako afanye kazi then uanze kukosoa ni ujinga...
 
Namkubali Alikiba ni mtunzi mzuri ni mwimbaji mzuri na ana sauti nzuri sana, ila video zake mara nyingi haziendani na anachoimba.

Ukiangalia hii video yake haileti hamasa ya kuendelea kuiangalia, haivutii na haina udadisi.

Labda kama lengo la video ni kutetea Tembo, lakini kama ni ya kushindana na Diamond ni sawa baiskeli dhidi ya piki piki.
8f531b79d056fc9bfdf9351491317dbe.jpg
kwani kiba anashindana na mondi, mbona umetoa hukumu mwenyewe, ungeweka uzi watu watiririke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom