hapakazit
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 839
- 663
Acha kumfananisha linex na mambo ya kisengevideo yenyewe giza giza tu,ali kiba Bwana,Diamond ni wa kimataifa huyo huwezi mlinganisha na alikiba,alikiba mlinganishe na kina linex
Acha kumfananisha linex na mambo ya kisengevideo yenyewe giza giza tu,ali kiba Bwana,Diamond ni wa kimataifa huyo huwezi mlinganisha na alikiba,alikiba mlinganishe na kina linex
Tengeneza yako uifanye utakavyo we ajuza au umkompe anaye kukazavideo yenyewe giza giza tu,ali kiba Bwana,Diamond ni wa kimataifa huyo huwezi mlinganisha na alikiba,alikiba mlinganishe na kina linex
ali kiba ana kundi kubwa la mashabiki ambao wanampotosha..!Na hao ndio wanao wanaompotosha ,hawataki kumwimbia ukweli kuwa aongeze ubunifu.
Soko la sasa hata kama wimbo uwe mzuri kiasi gani video yake ndio inauza.
Kosea Kate lakini sio kwa video.
Nitake radhi mi dume hafu mleta mada kajizalilisha mwenyewe na chuki.Dada mbona unamtukana asiyekutukana???..
Niwie radhi mkuu,mbona sijaona alipoleta chuki zaidi ya ushauri aliokuwa anautoa???..Nitake radhi mi dume hafu mleta mada kajizalilisha mwenyewe na chuki.
wewe safi...Fan wa muziki kiukweli hawezi kuamua uzuri wa nyimbo kwa kutizama video! Mie hata sihitaji kuona hiyo video ndio nitoe uamuzi. Ngoma nimeidownload na ni tamu saaaaana. LUPELA MBONA IKO SAWA!
Video nzuri sana tu, mimi binafsi nimeipenda...
Ukiona mwanaume kazi yako kubwa kusubiri mwanaume mwenzako afanye kazi then wewe ukae kijiweni ukosoe ujue una matatizo makubwa sana... Ali Kiba kuweka kipande kinachoonyesha Tembo kwenye Video yake imekuwa kesi ila Dimondi alimweka Dr. Mwaka na wala hakuna aliyekosoa wala kusema chochote...
Ambao hamjaiona video hii hapa..
Muda wote nilijua wewe ni ke. !Nitake radhi mi dume hafu mleta mada kajizalilisha mwenyewe na chuki.
hata video ya fid q ya walk it off nzur kuliko huyu jamaaa na video zake
Hilo sina shida nalo, ila kuonekana watu walewale ndio wanaokashifu kazi za Ali Kiba kila siku na kusifia za Diamond bila kukosoa chochote ndio kuna walakini... Au za Diamond huwa hazinaga kasoro kabisa??kazi ya fasihi ni lazima ifanyiwe analysis...
kwahiyo kukosolewa ni kutimiza misingi ya uchambuzi wa kazi ya fasihi..!
id kama ya kike, pia alivyotukana hapo ametukana kama mwanamke vile,Muda wote nilijua wewe ni ke. !
kwani kiba anashindana na mondi, mbona umetoa hukumu mwenyewe, ungeweka uzi watu watiririkeNamkubali Alikiba ni mtunzi mzuri ni mwimbaji mzuri na ana sauti nzuri sana, ila video zake mara nyingi haziendani na anachoimba.
Ukiangalia hii video yake haileti hamasa ya kuendelea kuiangalia, haivutii na haina udadisi.
Labda kama lengo la video ni kutetea Tembo, lakini kama ni ya kushindana na Diamond ni sawa baiskeli dhidi ya piki piki.
![]()
Duh! Kumbe na wewe umeona. !id kama ya kike, pia alivyotukana hapo ametukana kama mwanamke vile,
wanaume huwa wahatukani hivyo