Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Best hizi siasa sijawahi kuwa nazo interested kama mwaka huu, na nimeumia mnoooo!
Acha tu mito ile siku sikulala kabisa, kama utakumbuka tetesi zilianza saa 7 basi nilikesha simu mkononi nisiamini kilichotokea.

Nahisi kurudia kuichukia tena siasa, sio kwa mambo yale kwakweli.

Yaaa presha ilikuwa inapanda na kushuka sana kwa kila mfatiliaji wa siasa, acha kabisa nifah
 
Asante dear, punguza hasira bwana, tutaenda nao ado ado hadi watasanda tu.
Makamanda wa ukweli hawakimbii vita bali wanapambana hadi mwisho.
Huko kwingine sijapazoea jamani, nilishapachoka naona hata taabu kurudi huko.

Yaani mtu unakoment halafu jamaa linafuta haina tofauti na ban.
Rules za jf zinatosha wala haihitaji kufuata rules zingine tena za kumfurahisha mtu. Tushaomba explannations lakini wapi wanajifanya hawaoni ila kufuta comments ndo wanajua.....to hell with them! Ingekuwa jukwaa la siasa ningewaelewa
 
mkuu pwilo mwezi ndo ushaenda huo, tunasubiria kuona zile tambo zikitimia
 
Last edited by a moderator:
Nilikuja mbona kesho yake ni kacomment ikafutwa hapo hapo nikaona sio kesi nishawekwa kwenye rada.
Nyie zenu zilibaki yangu ikafutwa nikasema sio kesi nikahamishia vurugu insta na nipo pia nalinda Tembo

hatimaye umekuja karibu sana
 
sawa mkuuu tunaanza na collabo ya bella soon hafu tunamalizia na ya kwetu kwa man water sooner rather than letter #video making

Jamani ningezani better audio itoke na video.
Asirudie makosa.Video inatoka wimbo ushasahaulika
 
😱😱😱
Kwema lakini?

Oooh kwema sana momieee,

Pole kwa likizo, nakuona ulivyokonda, wish utafidia palipopungua wiki tatu mfululizo bila uwepo wako hapa si mchezo, nadhani hata cute b atarudi sasa.!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom