Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,319
Loo
Kwa iyo wenzio tulivokua tunakuita ulikua unauchuna tu?
Mtoto mbaya wewee.
Khaaaa acheni wivu jamani!
Loo
Kwa iyo wenzio tulivokua tunakuita ulikua unauchuna tu?
Mtoto mbaya wewee.
Oooh kwema sana momieee,
Pole kwa likizo, nakuona ulivyokonda, wish utafidia palipopungua wiki tatu mfululizo bila uwepo wako hapa si mchezo, nadhani hata cute b atarudi sasa.!!
BACK TANGANYIKA
arrogant kiba he does not post this in IG since he deslike competion with dai that y is silent #kingkibaaaAAAA
arrogant kiba he does not post this in IG since he deslike competion with dai that y is silent #kingkibaaaAAAA
nifah kiba mi naeza sema anazarau halafu anajiamini akiamua kitu no one can change labda mungu video ya bella na audio kimya but is done #hadi anaboa alitakiwa atume hata kipande cha wimbo alioimba na bella insta lakini wapi kimyaaa #anazingua sanaKiba kazidi jamani, hadi hua ananikera sometimes hata kama hapendi show offs ila akumbuke huu ni muziki lazima atangaze.
Show offs za maisha binafsi ndio upuuzi ila kazi poa tu.
nifah kiba mi naeza sema anazarau halafu anajiamini akiamua kitu no one can change labda mungu video ya bella na audio kimya but is done #hadi anaboa alitakiwa atume hata kipande cha wimbo alioimba na bella insta lakini wapi kimyaaa #anazingua sana
Na kama wana mpango wa kuitoa waitoe mapema mana tunaelekea kwenye uchaguzi attentions ndo zitakua huko. Mi naona wangeitoa mapema ka wali plan Ku u release this year or later after election.nifah kiba mi naeza sema anazarau halafu anajiamini akiamua kitu no one can change labda mungu video ya bella na audio kimya but is done #hadi anaboa alitakiwa atume hata kipande cha wimbo alioimba na bella insta lakini wapi kimyaaa #anazingua sana
Na kama wana mpango wa kuitoa waitoe mapema mana tunaelekea kwenye uchaguzi attentions ndo zitakua huko. Mi naona wangeitoa mapema ka wali plan Ku u release this year or later after election.
Yani wajitahidi tu wa i release mapema na akitangazwa mgombea wa UKAWA ndo itakua habari ya mjini na hizi movement za wagombea. Watu lazma wata pay attentions huko mana ni vtu vinavomgusa kila Mtanzania.Umeona mbali sana shoga angu, ni kweli maana fikiria hapa hadi sasa UKAWA hawajatangaza mgombea wao na kama akichelewa wakimtangaza tension yote itahamia huko...hapo bado wakati wa campaigns maana huwa zinavuta hisia za wengi.
Halafu tuingie kwenye uchaguzi wenyewe sasa, ni vyema kutoa hiyo audio na video kwa pamoja kabla ya hekaheka za uchaguzi ambazo mwaka huu zina msisimko mkubwa sana.
All da best to our promised sons Wizkid n Davido.
Africa unite.
Nilikuja mbona kesho yake ni kacomment ikafutwa hapo hapo nikaona sio kesi nishawekwa kwenye rada.
Nyie zenu zilibaki yangu ikafutwa nikasema sio kesi nikahamishia vurugu insta na nipo pia nalinda Tembo