Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,424
Karibu ila kuna moderator ------ nahisi anataka nimtagie yai ndo aache kufuta comments zangu!
Soon atafanikiwa kunitoa jf ila hawezi kuyatoa mapenzi yangu kwa Kiba.
Kule kwengine ndo kwanza kumekucha na tunatoa dozi kama kawa.....sometimes I love FB!
kwengine wapi huko @ave nijuze