Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Karibu ila kuna moderator ------ nahisi anataka nimtagie yai ndo aache kufuta comments zangu!
Soon atafanikiwa kunitoa jf ila hawezi kuyatoa mapenzi yangu kwa Kiba.
Kule kwengine ndo kwanza kumekucha na tunatoa dozi kama kawa.....sometimes I love FB!

kwengine wapi huko @ave nijuze
 
Hahahaaaaa mito ujue nimecheka? Wangu ulimjuaje ilhali nilikua sijakutajia?
Wewe nae siku hizi ushakua hodari wa umbea mimi nasubiri. ..

Ila bora wangu balaa lake unaliona kuliko wako alikua kibaraka tu, tena kafa kikondoo...teh

Wako nilihisi tu japo uligoma kunitajia!! Hahaaa ila hizi siasa acha kabisa nifah, sema tu ni ushabiki lakini yule wangu nilijua si rahisi kupewa kwani hakuwahi kufanya kazi na JK, hakuna rais anayependa kumwachia mtu nje ya cabinet yake. Ndo maana nilikuwa naenda nao wote 2 baada ya kuona wote wanauzika na wote ni wazuri mbele ya wananchi
 
Last edited by a moderator:
Karibu ila kuna moderator ------ nahisi anataka nimtagie yai ndo aache kufuta comments zangu!
Soon atafanikiwa kunitoa jf ila hawezi kuyatoa mapenzi yangu kwa Kiba.
Kule kwengine ndo kwanza kumekucha na tunatoa dozi kama kawa.....sometimes I love FB!

Asante dear, punguza hasira bwana, tutaenda nao ado ado hadi watasanda tu.
Makamanda wa ukweli hawakimbii vita bali wanapambana hadi mwisho.
Huko kwingine sijapazoea jamani, nilishapachoka naona hata taabu kurudi huko.
 
Wako nilihisi tu japo uligoma kunitajia!! Hahaaa ila hizi siasa acha kabisa nifah, sema tu ni ushabiki lakini yule wangu nilijua si rahisi kupewa kwani hakuwahi kufanya kazi na JK, hakuna rais anayependa kumwachia mtu nje ya cabinet yake. Ndo maana nilikuwa naenda nao wote 2 baada ya kuona wote wanauzika na wote ni wazuri mbele ya wananchi

Best hizi siasa sijawahi kuwa nazo interested kama mwaka huu, na nimeumia mnoooo!
Acha tu mito ile siku sikulala kabisa, kama utakumbuka tetesi zilianza saa 7 basi nilikesha simu mkononi nisiamini kilichotokea.

Nahisi kurudia kuichukia tena siasa, sio kwa mambo yale kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Kichambo kikinizidia nitamwita serengeti boi wangu na mie aniandikie kichambo.
Sipati picha.
Eti kwani kuna mtu aliwahi kusema d ana beef na Davido??
Mbona mapashkuna yamewehuka?
As for me najua wote wasanii wetu ndio maana nina show love.

Shoga nashangaaje jamani? Ujue mpaka nawaona kama machizi?
Vijembe hivyo vijembe gani?Ushamba tu unawasumbua.

Mipashkuna ile inajifariji tu.Siku hizi naona imeacha kujichekesha maana ilikua inacheka vitu vinavyowachekesha havionekani!

Hakuna kitu kibaya kama stress, utalazimisha furaha ambayo haipo mwisho utaonekana chizi tu.
 
Shoga nashangaaje jamani? Ujue mpaka nawaona kama machizi?
Vijembe hivyo vijembe gani?Ushamba tu unawasumbua.

Mipashkuna ile inajifariji tu.Siku hizi naona imeacha kujichekesha maana ilikua inacheka vitu vinavyowachekesha havionekani!

Hakuna kitu kibaya kama stress, utalazimisha furaha ambayo haipo mwisho utaonekana chizi tu.

Yenyewe ndiyo ilikua inapaparika kutwa kuchwa kumponda Davido kuwa anakarishwa na huyo kyaichapati, sasa nashangaa wanajisahaulisha mapema ivo wanasutana na mawe eti kiko wapii, kiko wapi kipo uvunguni mwa naniliu!
Oneluv.
 
Yenyewe ndiyo ilikua inapaparika kutwa kuchwa kumponda Davido kuwa anakarishwa na huyo kyaichapati, sasa nashangaa wanajisahaulisha mapema ivo wanasutana na mawe eti kiko wapii, kiko wapi kipo uvunguni mwa naniliu!
Oneluv.

Bora umeliona hilo.Naona wamesahau hao hao ndio walioenda kumtukania Davido wa watu hadi mama yake aliyetangulia mbele ya haki...
Waowao ndio waliokuwa wanamtukana kaka wa watu kila anachopost instagram wanamvamia kwa matusi....
Ajabu hii leo wanajichamba wenyewe, ndio maana nimekuambia nawaona machizi tu.
 
Back
Top Bottom