Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaa eti msiba mkubwa unakuja pande hii!
Mbona majirani mna vimuhe muhe hivyoo?! Just tulieni.....wait for the fate!

Nimeshangaa ikabidi najikalie zangu kimya tu.
Kwani wao wakizipata sisi inatuhusu au kutuumiza vipi?
Nitaghafilika kidogo tu kama wale niliowapigia kura wakikosa na sio vinginevyo.
 
kweli .msiba unatukumba huku leo haina jinsi tujiandae kisaikolojia best live act niya mr chibu dangote
 
Mmemsikia kakaenu pamoja na chairman wake?? Baddest.... 🔥🔥🔥
 

Attachments

  • 1437240483733.jpg
    1437240483733.jpg
    24.8 KB · Views: 127
Man of the night 🔥🔥🔥
 

Attachments

  • 1437240675989.jpg
    1437240675989.jpg
    25.7 KB · Views: 116
kweli .msiba unatukumba huku leo haina jinsi tujiandae kisaikolojia best live act niya mr chibu dangote

Best live sio kukata mauno mkuu kama khanga moja, subiri leo kuna watu mtakimbia JF alaf mkirudi tu mtakuwa mshachelewa maana mtakutana na collabo la King na Christian bella.
 
Best live sio kukata mauno mkuu kama khanga moja, subiri leo kuna watu mtakimbia JF alaf mkirudi tu mtakuwa mshachelewa maana mtakutana na collabo la King na Christian bella.

Eti collabo na nani? Na target yake ni nini labda kama sio kupiga hatua nyuma. Durban imechafuka Diamond kila kona.
 
Acheni kutuchafulia Uzi wetu na huyo chai jaba wenu pelekeni kwenye Uzi wake. Mbona hamjiamini utoto utawaisha lini kah watu wazima hovyo na mizivu ka stili waya lakini hamjehishimu.
 
atoto we miss you ma dia come this way pliiiizi. I begooooooo yoo.( In naijaz voice)
 
Last edited by a moderator:
halafu mi nashangaa sana hawa jamaa msiwajibu waacheni kwanza wapumue mpaka tuzo ziishe msijaze page hapa nendeni kule kuna thread ya tuzo imeanzisha ila vanessa naskia kakimbia tayari hahaaa
 
Best live: Katangaza Vanessa Diamond kabeba. Ndo tuzo ya kwanza kutolewa usiku huu
 
Back
Top Bottom