Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Attachments

  • 1436643750784.jpg
    1436643750784.jpg
    39.6 KB · Views: 101
Nimegota page ya 736 kila nikiclik page zingine narudishwa hapohapo! Abou nimekusoma kwenye notification kuwa umeniquote ila siwezi kuiona comment yako (plus iyo yangu) coz siwezi kumove to other pages!

Hi to you all
 
Hii ni zaidi ya character assassination....
Habari yenu? mkimuona mtani wangu atoto mwambie nimelazwa kwa ugonjwa wa kummiss...
Nimegota page ya 736 kila nikiclik page zingine narudishwa hapohapo! Abou nimekusoma kwenye notification kuwa umeniquote ila siwezi kuiona comment yako (plus iyo yangu) coz siwezi kumove to other pages!

Hi to you all
 
Last edited by a moderator:
Nimegota page ya 736 kila nikiclik page zingine narudishwa hapohapo! Abou nimekusoma kwenye notification kuwa umeniquote ila siwezi kuiona comment yako (plus iyo yangu) coz siwezi kumove to other pages!

Hi to you all
Jaribu kutumia tapatalk utaipenda jf zaidi..
 
Kwan baba yko au mlezi wko akiwa mwizi n we utakuwa mwizi

So kuchelewa kwa kiba ni kukosa ndumba na sasa kaipata au,tumia kichwa cha juu kutafakari jambo na si kichwa cha chini.kwahyo wote wasio kuwa na ndumba hawafanikiwi au

Waliomtukana ni wapumbavu. Ni account yake na ana haki ya kupost whatever he likes.

Ndo maana uwa nasema hata hapa mitandao imevamiwa na watoto wanaowaza kwa kutumia ushuzi.

Waliotukama wapumbavu.

The successfully plan of diamond fans
 
Back
Top Bottom