Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
yani mashabiki wa diamond wanamtukana kinomaa huko insta hadi kapost picha zoteee kasoro ya diamond
watukane tu. hao team fulani hawana akili kabisa. sio lazima. angepost wangesema kajipendekeza
yani mashabiki wa diamond wanamtukana kinomaa huko insta hadi kapost picha zoteee kasoro ya diamond
watukane tu. hao team fulani hawana akili kabisa. sio lazima. angepost wangesema kajipendekeza
watukane tu. hao team fulani hawana akili kabisa. sio lazima. angepost wangesema kajipendekeza
hao mashabiki maandazi mbona mondi hakupost video ya kiba insta
Am gud nacheketua tu
sio hivyo tu baba yake dully sykes mez b walivyokufa hakwenda ila mbona hawasemi alikuwa zanzibar anakula bata na zari haendi kwenye mazishi yulee jamaa
wapuuzi hao. ndo hapo sasa. vichwa nazi
Am gud nacheketua tu
Waache watukane hahhahah wanazidi mpa kick king kibaaaaa wao si wanasema msanii local??? Sasa hata akimpost domo haitamsaidia saaana domo. lakin kwa nini wanataka msanii local awape promo?? Hahahahah sitaki nataka.
Daaaaaaaaaaamn this dude is goooooood.
#chekechavibez
wamemtukana kiba leo hadi angalia alivyo andika et siwasikii semeni ila siwasikii wamemtuka sana