Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

kumbe nimekukot samahani sikukot teeeeenaaaaaa

Cheki ume ni kot tena 😀😀😀 usijali bhn we Fanya yko m.b n zko ujapewa n kiba mpaka uwackilize wale wanaokukataza kupost umu
 
Cheki ume ni kot tena 😀😀😀 usijali bhn we Fanya yko m.b n zko ujapewa n kiba mpaka uwackilize wale wanaokukataza kupost umu

😀😀😀😀 daaah ya leo sio ya jana :thumbup::thumbup:
 
Ha haa..
Sasa ndio usanii kaacha..alaf hammsapoti kwenye kampeni

ndo yupo huko anaonyeshwa mazingira ya wanyama na jinsi ya kuwalinda tukimkuta mtu na picha tu ya tembo jelaaa hatuna masihara mwakaa huu
 
Daah m kwetu kjjn huku hata umeme bado hujafka... Hv cheketua bado inachezwa trace tv eeeh hv ishaingia ktk top ten mana daah naipenda sana heheh
 
Back
Top Bottom