Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kachelewaje mzee, kwani mwisho wake wa dahari umekaribia???

Labda mwisho wa dunia ushafika, watu hawajui kuwa its never too late, everything hapens for the right time, its his right time now, huyo anayesema kachelewa yeye ajitathmini amewahi nini hadi leo!!!
 
Waliomtukana ni wapumbavu. Ni account yake na ana haki ya kupost whatever he likes.

Ndo maana uwa nasema hata hapa mitandao imevamiwa na watoto wanaowaza kwa kutumia ushuzi.

Waliotukama wapumbavu.

duuuu hapa ndo umeongea kistaarabu bila kutukana??? #kingkiba
 
wizard ndo imemlinda domo hadi mda huuu kumbe dah very sad

So kuchelewa kwa kiba ni kukosa ndumba na sasa kaipata au,tumia kichwa cha juu kutafakari jambo na si kichwa cha chini.kwahyo wote wasio kuwa na ndumba hawafanikiwi au
 
So kuchelewa kwa kiba ni kukosa ndumba na sasa kaipata au,tumia kichwa cha juu kutafakari jambo na si kichwa cha chini.kwahyo wote wasio kuwa na ndumba hawafanikiwi au

mkuuu ukiniqot uongee point na elewa mada ndo uchangie sawa
 
Back
Top Bottom