pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,562
- 14,627
Yani huuuuuuuh monalisa kanipandisha moliii ngoja nizame YouTube kumtazama king Hahahaha
twende u tube chap
Yani huuuuuuuh monalisa kanipandisha moliii ngoja nizame YouTube kumtazama king Hahahaha
Hahahahahahah japo sijadili na wewe but naona kama komenti zangu humu zimeleta side effects kwenye ubongo wako na wewe pia hahahahah so sad.
Uwezo wako pwilo wa kufikiri ni mdogo. Unauhakika gani kwamba hao walioporosha matusi ni team di.?
Em onyesha kukomaa akili. Mvulana kuwa shankupeshankupe haipendezi.
nenda insta kaone king anavyopendwa na watu wenye heshima zao sio makahaba "unatumia insta"????
Naomba usilijibu ilo li mbululazz mimi mwenyew kuna mahali lime ni quote nikalipotezea kama vile silioni.cut b @ms. lincoln umemuona data ananitafuta ananiita mi shankupe very sad
unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo wa kuwaza na kufikiri. unapojnyima hki ya ku quote maana yake hujiamini na huna uwezo wa kutetea hoja zako. kifupi unaoneka una elimu ndogo.Naomba usilijibu ilo li mbululazz mimi mwenyew kuna mahali lime ni quote nikalipotezea kama vile silioni.
Jibu la mjinga ni kukaa kimya mimi ata ani quote silijibu. data usijisumbue unapoteza muda wako bure kuni quote kwani nani asiyejua wew ni kilaza? Nani asiyejua wew ni shankupe?? Mnafiki kabisa.
Nilishasema sitamquote team domo yoyote.
Ni breini konkesheni kabisa una lingine? Mxiiuuuuuuu
Naomba usilijibu ilo li mbululazz mimi mwenyew kuna mahali lime ni quote nikalipotezea kama vile silioni.
Jibu la mjinga ni kukaa kimya mimi ata ani quote silijibu. data usijisumbue unapoteza muda wako bure kuni quote kwani nani asiyejua wew ni kilaza? Nani asiyejua wew ni shankupe?? Mnafiki kabisa.
Nilishasema sitamquote team domo yoyote.
Hahah wale mtv co ktma wale madam ubaya hana bwana kule.
Hahah wale mtv co ktma wale madam ubaya hana bwana kule.
dah sasa anachobisha ndo anachofanya c umeona eh king kibaaa
Huyo mpuuzi wala asitake kuniletea zake zipi......kama anajiona amepinda basi ajue tupo tulionyongolota kabisa!
duh mi shankupe sasa yeye aliyekuja kwenye thread ambayo sio yake na mimi nani shankupe et cut b Ms.Lincoln
cut b @ms. lincoln umemuona data ananitafuta ananiita mi shankupe very sad
Video ya cheketua tayari imeshachuja daah noma sna
2days views 176K OMG !!
Wewe ni tutusa siku hizi video watu wanatumiana wasapu, wewe endelea kukariri tu. Niende youtube kufuata nini wakati video natumiwa wasapu?
Hivi nyinyi shule mlikwenda kusomea ujinga.