Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Kama ni hivyo basi watachukia sana badi.
Ms.Lincoln u know exactly what i mean, no bla! bla!
Mhuu!
Kuna wambeya hapa, tuyamalize wenyewe bwanaa😀
Last edited by a moderator:
Kama ni hivyo basi watachukia sana badi.
Ms.Lincoln u know exactly what i mean, no bla! bla!
Mhuu!
Kuna wambeya hapa, tuyamalize wenyewe bwanaa😀
Why unanyimwa usingizi na wambea? Haujiamini kwani?
Na ujiandae kuongezwa kwenye list ya wanaochukiwa maana yule mazigazi ya chini anawashwa hatariii!Mhuu!Kuna wambeya hapa, tuyamalize wenyewe bwanaa😀
Na ujiandae kuongezwa kwenye list ya wanaochukiwa maana yule mazigazi ya chini anawashwa hatariii!
Hahahahah trust me crone bi.ch am gonna be your worst nightmare today ....hahahahh stay tuned Hahahaha .
Note: ( haya maneno "uwii na ndorobo) yananifanya nipate picha we type gani hahahhahha too shallow , too primitive, hahahahh hata kama no misimu but inawatu wa kariba ya kishambashamba kama wewe hhahha
Let's meet ndotoni hahahah
#JFsiyaBABako
Kumbe na wewe umo kwenye list!!! We ulimbania kwa nani? Basi huyu binti si bure ana matatizo makubwa aisee, na sehemu anazofanyiaga biashara zake anazitaje kabisaaa sijui ili wamfuate huko!! Nami nimeingia kwenye list leo, mbona atawamaliza kiba fans, cute b hebu ongea na huyo shost yako, mwambie hakuna mnunuzi humu, anatuchukia wanawake wenzie kisa nini!!
Only fear for death usitishwe na binadamu. Wacha uoga.Najiamini ila nawaonea huruma, wakiona ivi mishipa ya shingo inawakaza kabisa kama wana ngiri ya shingo.
L
Zaidi ya kuvurugwa list ya ansowachukia wa kwanza ni nifah wa pili ni Mimi Diva hahaaa yani yeye kuchukia tu watu wasiopenda akiaminicho.
Siku hyo kafunga hata yule mwenye manywele nywele namchukia hahaaaa akawa anaomba mwezi mtukufu usiishe sasa huko si kutokujiamini.
Wanaume weeeeengine buaaaaana loh
Hahaaaa kumbe alikua ana mendea baada ya kukosa ndo ana ma stress na hasira Matola hebu njoo utoe letamkoz utamfanya mtu akatishe uhai wake kabla ya siku.
Endelea nao. Safi.
Eti mtu anajitetea na joining date wakati boguz kabisaaa, anadhani joining date ndio kitu gani?? Mie nilikuwa nawaheshimu watu waliojiunga jf muda mrefu maana wanajitambua, kumbe na mamluki wamo aisee!!
Huyo ndo zako hata kwenye ..... Yake nyingine hujitetea na joining date. Kwanza haijalishi wote tu member
#ChekechaCheketuaCheketuaringInKibasVoice .
Na ujiandae kuongezwa kwenye list ya wanaochukiwa maana yule mazigazi ya chini anawashwa hatariii!
Mkuu mbona unacheka sana? Kila baada ya neno moja hahahaaaa sijui nini..hhahahaaaa.
Nini shida?
Basi tu kuna watu wanafurahisha na tu humu ndani JF burudani sana
Poa basi nenda kwenye uzi mwingine basi na sisi tujadili mambo ya kifamilia...
Hahahahahah so sad
Kwa mfano wewe ulitakaje #newcomer ?