Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wewe hebu nikome ka ulivo koma ziwa, mazoea ya kikuda staki kabisa stress zako tafuta sehemu ya kutolea. Kila mtu tu JF una mparamia tu. Mfyuuuuuuuuuuuu zako.
Nikome na ctaki mazoea na wasio simamisha mnara Mimi. Kimbe front tu ka jipu LA kwenye wezere tunduni.
#NikomeKabisaAmNotUaType .

hahaaa Diva Beyonce vp??? muzima ww
 
Last edited by a moderator:
atoto wewe cjui kwa nn hutaki kunielewa we kiumbe ????
 
Last edited by a moderator:
pwilo, monalisa huyu actress au?

ndio anajiita monalisa tz " aiseee nimeona huruma sana ndo mana nachukia mtu akijibizana na team domo wamemtukana dada wa watu kwa hiyo post ya king ila atoto jana kaniudhi sana
 
Last edited by a moderator:
nenda insta kaone king anavyopendwa na watu wenye heshima zao sio makahaba "unatumia insta"????

Nimeona mkuu anavyo........
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Aya chekecha

Chekecha (x11)

Aya chekesha cheketua cheke chekecha cheketua -cheke chekesha cheketua cheke chekesha cheketua cheke

Yeah uuh cheke chekecha -aah heyiiii-
 
Nimeona mkuu anavyo........
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Aya chekecha

Chekecha (x11)

Aya chekesha cheketua cheke chekecha cheketua -cheke chekesha cheketua cheke chekesha cheketua cheke

Yeah uuh cheke chekecha -aah heyiiii-

sasa nimesoma comment aisee hawa team domo waacheni msijibizane nao jana wamemtukana vanessa na monalisa na ommydimpoz hadi omydimpoz akatuma clips kuwajibu kisa kingkiba note:team domo wanapenda sana matusi plz let them alone
 
Nimeona mkuu anavyo........
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Aya chekecha

Chekecha (x11)

Aya chekesha cheketua cheke chekecha cheketua -cheke chekesha cheketua cheke chekesha cheketua cheke

Yeah uuh cheke chekecha -aah heyiiii-

kwa uelewa nilichogundua mashabiki wa kiba hatuna shida ila wa diamond aisee richmavoko alituma vote for domo kasome hizo coment kama unaweza wallah hakuna matusi ila kwa vanesa na omydimpoz na monalisa aiseee teamdomo waacheni msijibizane nao cut b hasa huyu atoto Diva Beyonce sawaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
sasa nimesoma comment aisee hawa team domo waacheni msijibizane nao jana wamemtukana vanessa na monalisa na ommydimpoz hadi omydimpoz akatuma clips kuwajibu kisa kingkiba note:team domo wanapenda sana matusi plz let them alone

Walitukani kwenye account gani nikaonee....ya omy au vannesa?
 
Yani huuuuuuuh monalisa kanipandisha moliii ngoja nizame YouTube kumtazama king Hahahaha
 
Yaani hawa jamaa matusi ndo jadi yao mbona kuna clip za waliokuwa wakicheza nana sisi hatukuwatukana, pole yake aisee
 
Yaani hawa jamaa matusi ndo jadi yao mbona kuna clip za waliokuwa wakicheza nana sisi hatukuwatukana, pole yake aisee

kwenye post za diamond hakuna matusi ila za kiba kuna yule didashaibu kila cku vote for domo hamna natusi ila kibaakipostiwa duh inakuwa tofauti
 
we atoto njooo huku utalalaje mpaka mda huu wewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom