Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

hahahahaaaaa ngoja nimsaidi@atoto huyu mtu alishasemaga hampendi nifah kisa aly k mwenzie akamjibu hivi"yupo kwenye mfungo"
hvyo bwana mazigazi km unasahau mi nakumbuka sana
nilikushangaa sana thar day kiukweli kabisa...

fake id zisikupe presha hvyoo

byeeee na karibu tena

Thank yuuuu mdada
 
attachment.php

lupita kamzimia vibaya ali kiba,mitandao ya kenya inasema wameongea sana,inawezekana dogo akabeba mzigo,zari hagusi kwa huyu superstar
 
ila atoto mi nilishangaa sana nilivyoiona BUMBUM kwenye tuzo za mtv mama hadi leo sijapata jibu walitumia kigezo gani kuichagua????

Alafu wakatulazimisha tuipigie kura kweli!!! Hivi ule nao ni wimbo!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako kwa kanuni ya uandishi kuchanganya Caps ni dalili ya makelele, upper case na lower case zina kanuni yake katika uandishi.

Usipolitambuwa hilo kwanza ni nonsense at all whatever you shout here.

Argue don't shout.

Unamwambia huyo a-argue kweli? Mbona unamtukana mwenzio!! Hicho ni kitu ambacho kamweeee hawakiwezi.
 
diamond yuko tandale anazibua mitaro ili aepuke mafuriko.,dogo anaongeza PR yake
 
yah nana ni kiswahili labda sankoro ndo kikwao huko ila BUMBUM atoto hadi nashikwa na hasira BUMBUM sio nyimbo ile ila may b labda kamshirikisha iyanya wa kwao ila duh wanaona ya kiba tu

Hayaaaa chekecha cheketuaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako kwa kanuni ya uandishi kuchanganya Caps ni dalili ya makelele, upper case na lower case zina kanuni yake katika uandishi.

Usipolitambuwa hilo kwanza ni nonsense at all whatever you shout here.

Argue don't shout.
Matola mkuu hao wanajua sana unajichosha tu waache hao ni mahaters mtu et aliona kipande wakasema video mbaya hizo ni akili kweli
 
Last edited by a moderator:
And who told u that im doin a formal/official writing here. Btw ktk casual style its allowed as when u want to STRESS A POINT OUT. Upo?
Kwa taarifa yako kwa kanuni ya uandishi kuchanganya Caps ni dalili ya makelele, upper case na lower case zina kanuni yake katika uandishi.

Usipolitambuwa hilo kwanza ni nonsense at all whatever you shout here.

Argue don't shout.
 
Yaani huyu bibie ni bongeee la ndoroboooo kwelikweli, lazima achukie huwezi jua alikuwa anamvizia Mdakuzi to her suprise akakuta nifah kamuwahi, sasa chuki inamtafuna tuuuu!! Unamchukia vipi mtu humjui? Boguz

kumbeeeeeeeeeee......
 
Last edited by a moderator:
atoto umeona alichoandika mazigazi kumbe wakija huku wanafuata nyie sasa si waseme kama wanafuata ma princess

Akuuu huyo alikuwa anamvizia mdakuzi alipogundua yupo na nifah akabaki kumchukia nifah sasa kahamia kwa matola, mm sio lesbian so aniondolee uharamu wake hapa!!
 
Last edited by a moderator:
Alafu wakatulazimisha tuipigie kura kweli!!! Hivi ule nao ni wimbo!!!

haki ya mungu nana bumbum et ni title za wimbo ila ok lets go to the point mwakani kwenye kili tunabeba tuzo zoteeeee msikie salama jabir kwanza alivyosema
 

Attachments

  • 1435764037169.jpg
    1435764037169.jpg
    51.2 KB · Views: 60
Woyoooooo!
We got them where we wanted to!
Its Cheketua all day looong!
Kadri mnavozidi kusema mbaya watu wanatamani kuiona na kuona mbaya afu wanaprove kuwa sio mbaya!
 
Back
Top Bottom