kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
U have freedom of speech but freedom after speech that I can't guarantee u.
Sihitaji majibu yenye harufu ya shombo .better shut up ur " domochoo"
Nimeuliza swali linalohitaji professional judgements sio maneno ya kanga.
So far mind your own biznes u pathetic little worm.
# ukijamotonakurudishabaridiii.
Ova and out.
Hahahaha ila kajitutumua maana inahitaji moyo wa jiwe kudiss hii video, hili songi jaman linabamba haliishi utam hasa likipigwa kwenye vyombo vya uhakika. Halaf sikujua kuwa kiba ana dimpoz dah, wadada wanafaudu jamani hatareeeeee
Boguz reply.
Huwez amini nmekuelewa sana mkuu na npo pamoja nawe coz kama nia ilkuwa n kuleta vionjo vya uzaman y yy avae usasa?
Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
Poor quality
Hivi mkuu una chongo ?
Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
Bora hata angekuwa na chongo, huyo ni kipofu kabisaaaaaa!
abou mdogo wangu hawa washamba wameanza kuona suti alipoanza kuzivaa Kiba kwahiyo wanajua suti ni usasa, mdakuzi kawafafanulia weee lkn wapi!!! Hizi ni zaidi ya brn kwakweliKavaa usasa ?
Hivi suti na ile kofia zimeanza kuvaliwa mwaka gani?
Teh
Mzima ww?
abou mdogo wangu hawa washamba wameanza kuona suti alipoanza kuzivaa Kiba kwahiyo wanajua suti ni usasa, mdakuzi kawafafanulia weee lkn wapi!!! Hizi ni zaidi ya brn kwakweli
Am guuuuuud and happppppppy, miss you, umeadimika!!
Hahahaaaaaa my ribs, eti km mtu kaachwa na treni, na ule mtambaara mfukoni km teja sijui ndio nn, hawayaoni hayo kazi kuhorojoka tu na king wetu, ovyooooooo!!
unafkri yaani mbona video iko poa sana
hizo wanazosifu mi naonaga uchafu kiukweli sizielewagi hata kidogo ila lengo lao ni kudiscourage hadhira ili isipendwe
si watu wazuri timi daimond hata kidogoo