Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,331
- 176,111
Khaahaaahaa nimeona Mdakuzi kawapa nondo
Lakini wanagwaya kuzielewa
Wanafurahisha sana
Suti zilikuwepo tangu karne zilizopita
Wao wameziona kwa Kiba tu 2015!!
Teh teh jamii forum kuna vioja
Yaani hawa ni zaidi ya majanga, no wonder wanavamia tu kila mahali bila ya hata kushirikisha ubongo(ambao nina mashaka km wanao), ni boguz hatari.
Last edited by a moderator: