Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

mie sijawahi hata kuiona yote mara nyingi naikuta kati tuu..!!
sina mda mchafu wa kuangalia utumbo ule!
washabiki wa daimond wana roho flani hv mbaya waulize video ya nana joti yupo,au hata ronaldo?
kucheza cheza km komborela ndo video kua bora

hawa lengo lao ni kudiscourage ili watu wasiiangalie na viewers wawe wachache u tube thats it...!!!

Waliulizwa ila wakawa wanatapatapa tuuu hata hawajielewi, yaani kwamfano wanamdiscourage nani? Naacha kuusikiliza huu mziki mtamu hivi nikasikilize vitu gani sasa!!
 
Ndoooooorobbbboooo wewe!!

Eti hamkubali alafu yupo kwenye uzi wa fans wake, kwani kichwa cha uzi kimeandikwa kwa lugha gani maana hawa brn sijui shida yao nini!!

Haya chekecha cheketuaaaaaa
 
Mkuu Matola wewe umesema kwamba una- fahamu wa video and movie making na wewe ni professional katika hiyo nyanja .

Kama professional unaweza kutuambia ni kasoro ( rotten tomatoes) zipi uliziona katika Hiyo video ya alikiba ya chekecha kwa sababu Mimi naamini kila kilichotengenezwa kwa mikono ya mwanadamu kina kasoro( isipokua MUNGU tu).

Hebu tuambie
 
Last edited by a moderator:
nimeingia kwenye page ya cocay cola ambapo kiba atakuwa live akijibu maswali... ndio post yenye comments na likes nyingi zaidi ktk page yao....afu wakija huku wanaponda akati wanamfuatilia chochote anachofanya.. nendeni fb mkaone page ya coca cola
 
Eti hamkubali alafu yupo kwenye uzi wa fans wake, kwani kichwa cha uzi kimeandikwa kwa lugha gani maana hawa brn sijui shida yao nini!!

Haya chekecha cheketuaaaaaa

Hahahaha ila kajitutumua maana inahitaji moyo wa jiwe kudiss hii video, hili songi jaman linabamba haliishi utam hasa likipigwa kwenye vyombo vya uhakika. Halaf sikujua kuwa kiba ana dimpoz dah, wadada wanafaudu jamani hatareeeeee
 
Mkuu Matola wewe umesema kwamba una- fahamu wa video and movie making na wewe ni professional katika hiyo nyanja .

Kama professional unaweza kutuambia ni kasoro ( rotten tomatoes) zipi uliziona katika Hiyo video ya alikiba ya chekecha kwa sababu Mimi naamini kila kilichotengenezwa kwa mikono ya mwanadamu kina kasoro( isipokua MUNGU tu).

Hebu tuambie

Tuambie mapungufu ya Diamond kama kilichotengenezwa na mwanadamu hakina mapungufu.

Leo nataka upate elimu ya kutosha kwanza kama mimi na ile crew tuliyokuwa tunafanyakazi wote hata leo hii tunaweza kukutengenezea tangazo au movie yenye muonekano huu hivi hivi.
 

Attachments

  • 1435758687335.jpg
    1435758687335.jpg
    11.1 KB · Views: 61
  • 1435758701318.jpg
    1435758701318.jpg
    16.8 KB · Views: 61
  • 1435758718461.jpg
    1435758718461.jpg
    57.8 KB · Views: 55
Last edited by a moderator:
Mkuu Matola wewe umesema kwamba una- fahamu wa video and movie making na wewe ni professional katika hiyo nyanja .

Kama professional unaweza kutuambia ni kasoro ( rotten tomatoes) zipi uliziona katika Hiyo video ya alikiba ya chekecha kwa sababu Mimi naamini kila kilichotengenezwa kwa mikono ya mwanadamu kina kasoro( isipokua MUNGU tu).

Hebu tuambie

Ukishayajua hayo mapungufu yatakusaidia nini labda?? Katoe kwanza mapungufu kuleeee alafu upigie mstari. Mfyuuuuu mnaonaga mapungufu ya Kiba tu nyie watu, hata lenye zuri bado mnachokonoa mapungufu!!!
Usijali mie ni secretary wa Matola
 
Last edited by a moderator:
Mie mpaka leo nilikuwa nasubiri wafungue uzi waniambie ngololo na sankoro ni nini na kwenye video ilikuwa wapi nashangaa cjawaona, wanakazana tu kumuona king akiwa nyang'anyang'a, mxiiiuuuuuuu!! In bi chauz voice

hawana majibu na hawatopata majibu ila kwa kua amefanya daimond ni sahihi but kafanya kiba ni vibaya wanataka nyang'anyang'a na chekecha ziwepo

hawa watu daahhhh....!!vilaza hatariii!!
 
nimeingia kwenye page ya cocay cola ambapo kiba atakuwa live akijibu maswali... ndio post yenye comments na likes nyingi zaidi ktk page yao....afu wakija huku wanaponda akati wanamfuatilia chochote anachofanya.. nendeni fb mkaone page ya coca cola

Bahati mbaya sipo fb jamani, yaani hawa watu wanamfuatilia kiba hatari!!! they r veryyyy obsessed with him to the maximum, Usije shangaa cku wakaja hapa na ratiba ya kunya ya kiba.
 
Hahahaha ila kajitutumua maana inahitaji moyo wa jiwe kudiss hii video, hili songi jaman linabamba haliishi utam hasa likipigwa kwenye vyombo vya uhakika. Halaf sikujua kuwa kiba ana dimpoz dah, wadada wanafaudu jamani hatareeeeee

Sio rahisi ugundue haraka coz yo a man, Kiba handsome wewe ukija sasa zile sijui wanaitaga humps ndio uwiiiiii!!!
 
Ukishayajua hayo mapungufu yatakusaidia nini labda?? Katoe kwanza mapungufu kuleeee alafu upigie mstari. Mfyuuuuu mnaonaga mapungufu ya Kiba tu nyie watu, hata lenye zuri bado mnachokonoa mapungufu!!!
Usijali mie ni secretary wa Matola

Granted with compliments.
 
Last edited by a moderator:
hawana majibu na hawatopata majibu ila kwa kua amefanya daimond ni sahihi but kafanya kiba ni vibaya wanataka nyang'anyang'a na chekecha ziwepo

hawa watu daahhhh....!!vilaza hatariii!!

Yaani hawa watu ni janga la taifa kwakweli, no wonder uchumi unazidi kuporomoka, sijui wazalendo wa wapi hawa!!!
 
Ukishayajua hayo mapungufu yatakusaidia nini labda?? Katoe kwanza mapungufu kuleeee alafu upigie mstari. Mfyuuuuu mnaonaga mapungufu ya Kiba tu nyie watu, hata lenye zuri bado mnachokonoa mapungufu!!!
Usijali mie ni secretary wa Matola

U have freedom of speech but freedom after speech that I can't guarantee u.

Sihitaji majibu yenye harufu ya shombo .better shut up ur " domochoo"

Nimeuliza swali linalohitaji professional judgements sio maneno ya kanga.

So far mind your own biznes u pathetic little worm.

# ukijamotonakurudishabaridiii.

Ova and out.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha Matola unaongea nini wewe? Ustake kutetea vitu vya ajabu ajabu kubalini ukweli ile video ali k kaichemka.

anyway inaweza isiwe kosa lake moja kwa moja but ni kosa la director kw sabab yaweza kua kiba alitoa idea nzuri ya video ila director kashindwa kumeet vile viwango vya hiyo idea.

kosa kubwa pia la Kiba labda ni kupokea video na kurealease hata km video haku ipenda hpa ieleweke kwamba sina uhakika km kweli Kiba haku penda ubra wa video.

kama kweli alikua anataka video iwe na materials za kizamani ni sawa kabisa but kwa nini yeye avae suti /mavazi za kisasa? (suti,kofia,jinzi,raba,moka sweta,miwani nk) vyote vile havi muonyeshi katika hali ya uzamani.

kama ni kutaka mandhari ya kizamani cheki video ya "H-art the band wimbo wa nikikutazama" very simple video but ina vutia kuiangalia sana tena sana na ina muonekano bora wa kizamani zamani.

Tukubali ukweli cheketua kachemka labda yaweza kua director kamuangusha ila katika kumbukumbu yangu Kiba hajawahi kufanya video kali hata mwaka mmoja.labda ya mwana kidooogoooo.

Huwez amini nmekuelewa sana mkuu na npo pamoja nawe coz kama nia ilkuwa n kuleta vionjo vya uzaman y yy avae usasa?
 
Last edited by a moderator:
U have freedom of speech but freedom after speech that I can't guarantee u.

Sihitaji majibu yenye harufu ya shombo .better shut up ur " domochoo"

Nimeuliza swali linalohitaji professional judgements sio maneno ya kanga.

So far mind your own biznes u pathetic little worm.

# ukijamotonakurudishabaridiii.

Ova and out.

Boguz reply.
 
Back
Top Bottom