Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Muulize mwenzako sharcole ndio kasema kiba atachaguliwa tuzo zz chanel O 2015 wakat kituo cha chanel o sahv kimekua local Tv SA kwaio Diamond ndio mtu wa mwisho kuzo tuzo nyingi Chanel O na Cassper Nyovest tumefunga hvo Tz na tuzo hazipo teeeena.

Tuzo za davido mnakuja ringishia humu, hahahhahahahaha na bahati yao wamekuwa local channel safar hii davido asingekubali kusafiriwa nyota
 
Last edited by a moderator:
Yaani bora wewe mpagani umefuta huo utumbo wako boya wewe, kweli nimeamini huu uzi unafuatiliwa ni km chakula kwa watu wengi mnooo, wengine mpaka wanajikuta washajikurupua humu alafu wanajistukia wenyewe
 
dada kutafuta ela huku. niko poa kabisa. naisubiri sana hiyo

Tafuta mwaya tuondokane na huu umasikini waliotukaba nao koo hawa mapupu, hii video huwezi amini ni most awaited video watu wanaingoja kwa hamuuu waanze kufungua nyuzi mia mia, hahaaaaa km nawaona washaandika script zao wanangoja kukosoa tu.
 
sasa hivi mtu akizingua tunamzingua wanatufanya sisi maboya cute b hivyo hivyo nda wanavyotaka kula nao sahani moja #monday from mejialabi
 
Last edited by a moderator:
Tafuta mwaya tuondokane na huu umasikini waliotukaba nao koo hawa mapupu, hii video huwezi amini ni most awaited video watu wanaingoja kwa hamuuu waanze kufungua nyuzi mia mia, hahaaaaa km nawaona washaandika script zao wanangoja kukosoa tu.

wanapenda ushabiki wakijinga ka le mutuz et wameanzisha uzi davido kapitwa viewers you tube na diamond sasa we unaona ni akili hizoo au matope # monday from mejialabi
 
Tafuta mwaya tuondokane na huu umasikini waliotukaba nao koo hawa mapupu, hii video huwezi amini ni most awaited video watu wanaingoja kwa hamuuu waanze kufungua nyuzi mia mia, hahaaaaa km nawaona washaandika script zao wanangoja kukosoa tu.

maisha kutafuta. hao wenyewe wanaisuburi hiyo video kwa hamu ndo maana hao kutwa wanashinda kwenye uzi wa #kingkiba wakati kuna uzi wao
 
Yaani bora wewe mpagani umefuta huo utumbo wako boya wewe, kweli nimeamini huu uzi unafuatiliwa ni km chakula kwa watu wengi mnooo, wengine mpaka wanajikuta washajikurupua humu alafu wanajistukia wenyewe

Uu Uzi utawaua bure na huyo domo wenu jiamini sio kutuletea uswahili wenu hii ni forum wamezoea kwenda kutukana kwenye page ya Davido sasa mnafikiri JF ndo mtaiweza.
Sisi ndo die hard fans kisiki cha mpingo wamekuja wenye mashoka wameshindwa nyie wenye mapanga mtaweza.
Teh teh teh andikeni neno jipya ila Yale Yale hamna jipya.
Useless ba.nc.h of fools
 
wanapenda ushabiki wakijinga ka le mutuz et wameanzisha uzi davido kapitwa viewers you tube na diamond sasa we unaona ni akili hizoo au matope # monday from mejialabi

Ndo kukosa kazi huko unaweza kukuta watu wachache wana I view kila sasa. Je yule mkorea aliye vunja record ya kuwa na viewers billion moja kwahyo ni bora kuliko wasanii wengine.
Tatizo wanafanya kila kitu kwa mashindano huyo domo kwa Davido atasubiri sana si kielimu wala mkwaja wala family level na background yake. Aiendelee kujidaganya. Davido made him famous.
 
Upo siku mbaya wewe mbona una mdomo mchafu hvo pole bwana ila ndo maumbile yako naona unapenda sana uitwe mwanaume ndo basi tena.

Wewe naye akiwa siku mbaya inakuhusu nini naona unajitekenya na multiple id kwenye uu Uzi so shame jiamini maneno yako ya shombo la jaa.naba peleka huko.
Jiamini kwanini una tafta kumu provoke mtu na multiple I'd
 
Ok nimekusoma @Ms Lincoln lakni angesema tatzo ni nini sio kuja kututukana mana na mi ningekua najibu matuc yake ingekua balaa. Cwez naheshimu mwanamke yoyote challenges zipo za hapa na pale lkn cwez mtusi

Ndo uwe na kiasi hata ka ni ushabiki na humpendi mtu unaji control feelings zako mana kwa cute b ndo mumeona mteremko eeeh.
Ungekua unaheshimu mwanamke usingemwita bi.tch ulitegemea nini?
Kila kitu na kiasi buuuuuuana.
 
Last edited by a moderator:
Shalom TeamUshindi.

Ile video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kutoka kwa King of Afro pop in East Africa, Allikiba, itakuwa released jumatatu hii.

Video hii ya chekecha ipo directed na Director Mejilabi ambaye ni miongoni mwa directors wakubwa Africa na mwenye records nzuri kama video zake 2 kuingia katika category ya video bora ktk tuzo za Mtv Mama mwaka huu.

#Rockstar4000 presents
 
Ndo kukosa kazi huko unaweza kukuta watu wachache wana I view kila sasa. Je yule mkorea aliye vunja record ya kuwa na viewers billion moja kwahyo ni bora kuliko wasanii wengine.
Tatizo wanafanya kila kitu kwa mashindano huyo domo kwa Davido atasubiri sana si kielimu wala mkwaja wala family level na background yake. Aiendelee kujidaganya. Davido made him famous.

et wanasema diamond atampita davido followers sasa hizo ni akili kwanza wanaomfollow diamond insta wengi ni wafanyakazi wa globalpublishers wanatafuta umbea #team kiba
 
Back
Top Bottom