Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Heheh dude itakula kwake.
Chekecha ndio video ya watu inayosubiriwa kwa hamu.
Hata kama ikiwa mbaya (just in case ni kwa mfano tu) lazima itamzima tu or else asubirie youtube viewers wake wakiintaneshno!

Hahahaaaaa!! Nimecheka kwakweli
 
nakwambia hiyo chekecha yenyewe alipewa ofa na abuu dady baada ya kuvujisha nyimbo zake angalia balaa lake lile na hakuwa sirious lakin sasa hiyo collabo ya bella inatoka na video pa1 #teamkibaaaaaa

Hayo ndio mambo sasa
Aiiii hiyo nayo ni homa nyingine aisee
 
Hahaaa na kweli yaani ni balaaa, namkumbuka yule alosemaga mwana ikifikisha viewers laki anajinyonga, sijui alifia wapi

hahahahaha mwingine alisema angekunya mafungu kutoka wapi hadi wapi sijui
 
Na ndio logic yao ya kujaji kila kitu

Ale chekecha cheketuaaa...
Najisikia princess hapa.

kama mapenzi gorofa
yamejaa kariakoo
mi nnamapenzi tele toka
kwetu kuleeeeeeeeeee
wanaonitaka ni wengi
ila mm kwako nyang'anyang'a
ale chekecha chekecha cheketua #woyoooooooo
 
Hivi yule mjomba wa Kiba anaemwandikia
nyimbo zake anaitwa nani?

Wewe matumbo njoo kwa Legendary Sugu tuflash back huku usiwachefuwe wapendwa, leo tunaichambuwa Bongo Fleva ilikoanzia ili vijana wajifunze misingi ya huu muziki ulipotoka. Asiyejuwa Historia siku zote ni mtumwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom