Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Atunge toka kwenye maini kabisa, mwisho wa cku anakufa maskini
Alli Kiba ni moja kati ya wanamuziki ambao ni adimu sana na haifai kuwapoteza.
Kila nikisikiliza nyimbo zake huwa nanotice kitu chenye akili sana.
Utumiaji wa fasihi unaonesha kwamba hatungi nyimbo kwa kukurupuka tu kurembesha ili mradi watu wacheze tu kufurahia midundo bali hutunga nyimbo kutoka moyoni kabisa kwa akili na kile akiaminicho. Ni mmoja kati ya wasanii unique ambao hawafanyi muziki kimazoea au kusukumwa na aina ya styles ambazo zinafanywa na wengi. .
Kudos King Kiba
 
Ally Kiba anajua kutiririka na maneno na kuchombeza vionjo pasi na kupoteza maana.

Mfano:
Siamini siamini yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini.
Siaminiiiii(anavuta na long i) siamini
yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini

Haya chekecha chekecha (nyongesha) chekecha chekecha
Haya chekecha cheketua chekecha chekecha cheketua ( )
 
Ally Kiba anajua kutiririka na maneno na kuchombeza vionjo pasi na kupoteza maana.

Mfano:
Siamini siamini yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini.
Siaminiiiii(anavuta na long i) siamini
yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini

Haya chekecha chekecha (nyongesha) chekecha chekecha
Haya chekecha cheketua chekecha chekecha cheketua ( )

Hahahha basi basi mtaa wa pili watakopi bana
 
Alaf mnajua nimenotice kitu hapa yaani kuna page kama tisa kumi hivi tunamzungumzia Domo, hii inampandisha domo kana kwamba cc hatuna cha kumzungumzia our King. Au mnaonaje wakuu kwani bila kutaja Domo humu kijiwe hakiendi?
 
Ally Kiba anajua kutiririka na maneno na kuchombeza vionjo pasi na kupoteza maana.

Mfano:
Siamini siamini yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini.
Siaminiiiii(anavuta na long i) siamini
yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini

Haya chekecha chekecha (nyongesha) chekecha chekecha
Haya chekecha cheketua chekecha chekecha cheketua ( )

yule fundi sana #kingkiba
 
Alaf mnajua nimenotice kitu hapa yaani kuna page kama tisa kumi hivi tunamzungumzia Domo, hii inampandisha domo kana kwamba cc hatuna cha kumzungumzia our King. Au mnaonaje wakuu kwani bila kutaja Domo humu kijiwe hakiendi?

tatizo wanapenda kushinda humu kule kwao hakuna jipya
 
Ally Kiba anajua kutiririka na maneno na kuchombeza vionjo pasi na kupoteza maana.

Mfano:
Siamini siamini yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini.
Siaminiiiii(anavuta na long i) siamini
yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini

Haya chekecha chekecha (nyongesha) chekecha chekecha
Haya chekecha cheketua chekecha chekecha cheketua ( )

Aiii ulijuaje km ndio wimbo ninaosikiliza now, viva king
 
Alaf mnajua nimenotice kitu hapa yaani kuna page kama tisa kumi hivi tunamzungumzia Domo, hii inampandisha domo kana kwamba cc hatuna cha kumzungumzia our King. Au mnaonaje wakuu kwani bila kutaja Domo humu kijiwe hakiendi?

Kaangalie kwao kwanza alafu urudi tena, na angalia kwann kaongelewa domo humu utagundua kitu, ila only if u read btn lines, something that i doubt.
 
hahahaha ila wanaboa sana

Wale mioyo yao imetuzimia ndio maana kila siku lazima waje watusalimie hahaha!! Salam zimfikie kende a.k.a kendrik na mchimvi mswazi mwenzie, beseni pana a.k.a banseni bana haaaahaaa!
 
Ally Kiba anajua kutiririka na maneno na kuchombeza vionjo pasi na kupoteza maana.

Mfano:
Siamini siamini yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini.
Siaminiiiii(anavuta na long i) siamini
yamenipanda kichwani
Mahaba yako tasiliti mi yamenikoleza mwilini

Haya chekecha chekecha (nyongesha) chekecha chekecha
Haya chekecha cheketua chekecha chekecha cheketua ( )

Ebwanaaaa eeeh! Huyu ndo King yani mashairi matamu balaaa.
 
Back
Top Bottom