Wahamie marekani bhana...
Wanigeria tumeshawachoka sasa...
hiyo project sio ya sasa najuwa sahivi ni zamu ya SA na mafikizolo baada ya hapo ndio mbele, kwa mwakani tunaanza na psquare, aka, wizkid na kuendelea
Wahamie marekani bhana...
Wanigeria tumeshawachoka sasa...
Wao wame create image kuwa mashabiki wa Kiba ni rejected,wauzaji na blah blah nyingi hadi kupewa majina mbalimbali. Wee jiunge tu na zoom ukimaliza u join the Kilimanjaro institute of Technology.
Wao wakiona mtu JF sijui wanamchukuliaje wasijue yaliyomo yamo.
Hahahaaaa nitajoin pale Kilimanjaro kwa ajili ya diploma.
Alafu wanaotuambia turudi shule wawe wanatupa na ada kabisa. Lol
Itabidi hela ya shooting ndo akalipe kodi sasa naskia kidoti ni mbahili sana haongiKarud home kwa mama kunyonya.
Ipo safi sana,natamani watengeneze wimbo na video pamoja.
Wale watu wa teams watakuwaje wapole.
Wanaonitaka ni wengi ila mimi kwako nyang'anyang'a aaaaaaaah pamoja wadau tufanye kuhusika basiiii MTV mama Diamondplatnumz (best male, live, collaboration) & vanessa (best female)
⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇
MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015
⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆
link hiyoooooooooooo... #wasaaaaaaafi
______________________________________________
Hakikisha unapiga kwa kutumia browser, na lazima kusign in kwa Facebook, twitter, or email... Kila kipengele 20 votes kila siku, kwa waliojiunga na email, au twitter wanapiga bila kikomo...
vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote
Mbege kwa Wachagga
Wakuu kwa habari zilizoenea ni kuwa Allikiba atakuwa nominee wa Tuzo za Channel O 2014/2015 katika category 1, kama nyota anayechipukia Africa.
Inakuaje management ya Ali kiba inauza nyimbo za diamond iTunes :what:
Ban imeisha ee?
Ilinipatia nafac ya kuvote MTV for diamond, vanesaa. Casper nyovest